Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,710
- 2,226
Nyerere alikuwa mzalendo ana lileta maendeleo mengi kwa nchi yetu licha ya changamoto lukuki.
Then akaja Mwinyi mambo yaliende fyongo. Akaja mkapa mambo yakawa angalau kuliko mwinyi,
Sasa zamu ya huyu ndugu yetu naona mta analyse wenyewe mambo mambo FYONGO ni mengi ukiyaandika yote apa utakesha ila ili la mafuta na mgao wa umeme.
So inaonekana ni mwendo wa on and off!so tuwe wavumilivu mrithi wa kikwete atatuokoa
Then akaja Mwinyi mambo yaliende fyongo. Akaja mkapa mambo yakawa angalau kuliko mwinyi,
Sasa zamu ya huyu ndugu yetu naona mta analyse wenyewe mambo mambo FYONGO ni mengi ukiyaandika yote apa utakesha ila ili la mafuta na mgao wa umeme.
So inaonekana ni mwendo wa on and off!so tuwe wavumilivu mrithi wa kikwete atatuokoa