Kuelekea baraza jipya "EVERYBODY MARK THESE WORDS"

Ulichoandika mwanzo mwisho hakina shaka hata chembe,kama wa tz hatuwezi chukua hatua tutaishia kulalamika miaka nenda rudi,pili kama hatuwezi kuchukua hatua tufanye kafara la kitaifa.angalia deni la taifa na hamna mtu anajali kweli inauma sana!

Mkuu sisi waTZ sijui tuna tatizo gani hasa yani hatuwezi kabisa kuamua kwa kauli moja hata kidogo. Nchi yenye resouce nyingi kiasi hiki lakini watawala waweka maslahi yao mbele sana sijui labda itafika siku hiyo.
 
Tatizo ni familia kutamani kila aina ya biashara,mara mafuta,ujenzi,kumbi za starehe,hotel,ngo kila kitu.Mie naweza kuaamini kuwa hata ofisi ya Ikulu na SAFARI zotev hizi kuwa na mwafanya biashra ya madawa ya kulevya kwa nini kila mara safari nje ya nchi.Raisi wa Tunisia alitimuliwa ikulu ilikutwa na mablungutu ya fedha za kigeni dolla,euro,pound na mifuko ya madawa ya cocaine.hapa kwetu sasa biashara hiyo imeshamiri na wahusika rais aliwahi kusema anawafahamu na kuishia kutaja viongozi wa dini.Ukiwa na tamaa sana utafanya na mambo ya aibu.
 
Mkuu sisi waTZ sijui tuna tatizo gani hasa yani hatuwezi kabisa kuamua kwa kauli moja hata kidogo. Nchi yenye resouce nyingi kiasi hiki lakini watawala waweka maslahi yao mbele sana sijui labda itafika siku hiyo.

acha njaa itupige kwanza tutie adabu ndipo tutajituma wenyewe kuingia barabarani,wakati dr slaa anatuambia kuwa tusipo mchagua tutakumbuka maneno yakd ndio sasa,na wakati wa kutia kwa ile kauli yake ya kua nchi haitatawalika,unakuja wacha njaa itupige tukifulia tutatia adabu.kitakacho tutia hasira ni pale mtu anasoma na mtoto wa kigogo mnamaliza wote yeye anapata kazi wewe una kaa kijiweni mwika kumi wakati kwanza unamzidi GPA.sasa tukiwa wengi ndio utaona kuwa hata risas,mabomu na askar havitatosha
 

Kwa mbaaali naona kama nipo kisiwani Patimo napata ufunuo.
 

kwa hiyo tuna wait till time tells si ndiyo tutakuja juta.
 
Na maisha haya! bado kdogo twende na elfu hamsini dukan kununua mkate ama wembe.
 
mkuu angalia ukifunuliwa mengi unaweza kujuta kwa nini uko patmo.

Hiki ni kisiwa cha upweke nitatafakari na kuchukua hatua bila kuwa influenced. Nimesoma mengi hapo ila mimi kwa moyo wangu na nafsi yangu naamini kwamba Nundu amezungukwa na genge la mafisadi na ameingia tu kwenye anga zao na wanataka kumshughulikia.
 
Huyu jamaa ni Janga la Kitaifa, kusubiri mpaka 2015 watu wa kizazi chetu tutakuja laumiwa saaaana na vizazi vijavyo kwa kuwa lege lege kiasi cha kuwaachia watu wasiozidi 20 kuifukarisha nchi yetu.
 
sote tukiwa na mawazo kama yako mkuu mbona tutaisha. Au na wewe unanufaika kwa namna yoyote ile na huu utawala wa Vasco da Gama?

sawa yawezekana ukawa unanufaika na mirija/diri za JK,lakin ndugu yangu ukila ukashiba jitahidi na majirani washibe kwan kikinuka ndio utajua nini tunamaanisha ktk hii thread
Hapana Wakuu, na mniwie radhi mmenifahamu hivyo. Mimi ni miongoni mwa mamilioni ya Watanzania wanaoteseka kutokana na utawala huu. Hapa nilikusudia kukariri tu hiyo kejeli yake, "Ni upepo tu utapita - JK 22/04/2012", licha ya mashaka yote tuliyonayo, licha ya wezi kubainishwa wazi wazi, Raisi wa Mambo ya Nje a.k.a Vasco da Gama wetu anazurura Brazili, kufika hapa hiyo ndiyo iliyokuwa kauli yake ya kwanza, akaweka mizigo, akabadilisha nguo, huyoooooo mazikoni Malawi.
 
Hiki ni kisiwa cha upweke nitatafakari na kuchukua hatua bila kuwa influenced. Nimesoma mengi hapo ila mimi kwa moyo wangu na nafsi yangu naamini kwamba Nundu amezungukwa na genge la mafisadi na ameingia tu kwenye anga zao na wanataka kumshughulikia.

i guess so mkuu lakini still kuna siri kuu bado.
 
... kama haya uliyosema ni ya kweli basi na wewe ni mmojawapo..ni matuamaini yetu utapangiwa kazi nyingine....this pumbas
 

mkuu MAMMAMIA umeeleweka vizuri sana. No doubt you are amoung us who are dreaming for the changes one day.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…