Mu-sir
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 3,621
- 1,643
- Thread starter
- #61
... kama haya uliyosema ni ya kweli basi na wewe ni mmojawapo..ni matuamaini yetu utapangiwa kazi nyingine....this pumbas
nashukuru mkuu kunikashifu ila tambua mimi siko katika namna yoyote serikalini bali mtu wangu aliyechoshwa kama wewe na mimi ndo kanipa haya niliyoleta humu jamvini.