Kuelekea baraza jipya "EVERYBODY MARK THESE WORDS"

UFISADI NDANI YA TAIFA LETU: ENYI MA-TOMASO MSIOAMINI HATA ZA 'JIKONI KWAO HAWA JAMAA' - NANI KASEMA ETI SIKU HIZI SAMAKI HUANZA KUOZA KUANZIA MKIANI HAPA???

Ni nani asiyejua kwamba walalahoi wa nchi hii mali zetu zinahamishiwa uarabuni kwa kutumia kila wizara kama wakala wa UFISADI?

Wapi uliwahi kusikia eti waziri anamgomea rais kujiuzulu kwake licha ya KUBEMBELEZWA SAAAANA KUOKOA JAHAZI kimtindo jambo analoonelea kwamba binafsi hajanufaika nayo kama si kutuambia umma wa Tanzania kiaina kwamba 'MIE NILIIBA KWA MAELEKEZO NA FAIDA YAKE YEYE huyu bana halafu leo hii nisulubiwe mimi; HAKA SIJIUZULU KITU NG'O'!!

WaTanzania, kuna tatizo tena zito ajabu pale pale Magogoni kwenyewe hivyo hata waje Waziri Zitto Kabwe au Tundu Lissu chini ya kivuli cha mbuyu huu huu bado UFISADI utaendelea kupaa kwa kasi ile ile!!!

Machimbo ya Uranium hifadhini nani mwingine tena akafanye na kule Bukombe kama si wenye meno ndani ya nchi?? Taifa hili litaendelea kutafunwa na wenye meno huku wenye moyo wakiendelea kuduwazwa na kufanywa kuonekana tu mahayawani kila kukicha.

INAUMA SANA!!!!!!!!!!

Mkuu hao jamaa hata mimi nashangaa kwa nini wasimlipue mkulu wao na nadhani kinachosababisha ni kale ka ugonjwa ketu ka USHAHIDI WA KUJITOSHELEZA!! hivi mnafikili yeye ni mjinga aache ushahidi kijinga? Hata Zitto awe waziri mkuu bado madudu yatakuwepo tu na Zitto ataonekana mchafu because of thi Bull.
Mimi nadhani Lowassa ndiye angemlipua lakini akatikisa kiberiti akidhani mkuu atambeba kumbe ndo akatupwa nafikiri huko aliko anajuuuuta kumfahamu mkulu.
 
mkuu huyu jamaa nyumbani kwake asubuhu utakuta magari yamejaa uwani halfu jioni yameshauzwa yote na TRA anapeta tu kiufupi ni untouchable! So watu watashangilia baraza jipya wasijue nyuma ya pazia kuna mkulu mwenyewe anafanya great business kimya kimya na mpaka 2015 nchi inaweza kubaki bila kitu.

Haya nayo yalikaguliwa na kupewa crtificate ya viwango na TBS? Ndiyo maana ya Ekeleje yamekuwa historia.... Ufumbuzi wa matatizo yote haya ni kila anayesoma huku na anayepost kuwa na kadi ya mpiga kura ili tupige kura ya mabadiliko 2015. Watachakachua kura kwa kutumia chupa za chai na hot pots lakini watashindwa....
 
Nilikuwa nimeanza Kuielewa Hiyo Hadithi Ila ulivyomtaja Maige Kuwa na yeye Ni msafi Nikagundua ni yaleyale ya kujitetea!!
 
Nilikuwa nimeanza Kuielewa Hiyo Hadithi Ila ulivyomtaja Maige Kuwa na yeye Ni msafi Nikagundua ni yaleyale ya kujitetea!!

mkuu Mkwe21 nilisema mpangilio unaweza ukawa hovyo lakini sikumaanisha Maige ni msafi hapana nimemtaja yeye na wasaidizi wake na kusema haya yote hadi wa kina Kamran utagundua Maige na wenzake wanamsave nani. That's all mkuu.
 
Last edited by a moderator:
lowassa knows atalipua hii kitu soon tusimuone mjinga kukaa kimya
ataibua makubwa nchi itatetemeka
 
lowassa knows atalipua hii kitu soon tusimuone mjinga kukaa kimya
ataibua makubwa nchi itatetemeka

Probably atalipua kitu kwa sababu amekuwa akisema atongelea ishu ya Richmond muda ukifika sasa sijui ni lini lakini akichelewa mambo yatasukwa na yeye kuswekwa Lupango kama hajui.
 
ndio maana nundu kila kukicha anajitamba kuwa yeye ana tatizo lolote na hawezi kujiuzulu mpaka mkulu asemee
yaani hii inaonesha dhahili kuna kamchezo ambako kanaendelea na kana mfanya apate kiburi. mkulu wa kunyonga
 
Mu-sir,

You are really a great thinker! Kinacho nishangaza hapa ni kwa nini watanzania tumekuwa waoga kiasi hiki! Kuna sababu nyingi kuamini kuwa mkuu ni mhusika katika matukio haya. Haiwezekani, kama kilanja mkuu husichukue hatua dhidi ya watendanji wabovu. Mkuu anawafanya wa-Tanzania waone yeye msafi (refer his speech on 1st May) lakini hatuoni concrete actions alizochukua dhidi ya wezi wa nchi hii (hasa wale waliondani ya uteuzi wake). Lakini pia I don't trust him tangu aliposema hajui mmiliki wa DOWANs na baada ya siku chache mwenye nayo akaonekana (refer vyombo vya habari wakati huo). Colleagues, believe me or not, the guy is ready to rule by gun till his end of his term and no body will touch him. He may or not appoint new ministerial cabinet but the situation will continue as usual. unfortunately nilikuwa nasoma katiba yetu jana nikaona hata akitoka madarakani no one will touch him. He is constitutionally protected. Akiona katiba mpya itamfunga, kwa makusudi aweza pia chelewesha processes zake-

My Take: Let every Tanzanian knows that we are really in political turmoil and each of us need to take action now
 
kama unachosema nikweli, basi bunge liunde tume ya kumchunguza mkuu wa nchi bse it's obvius yeye ndo mwenye kukumbatia ududu mwingi. Ndio kazi yao.
 
Mu-sir,

You are really a great thinker! Kinacho nishangaza hapa ni kwa nini watanzania tumekuwa waoga kiasi hiki! Kuna sababu nyingi kuamini kuwa mkuu ni mhusika katika matukio haya. Haiwezekani, kama kilanja mkuu husichukue hatua dhidi ya watendanji wabovu. Mkuu anawafanya wa-Tanzania waone yeye msafi (refer his speech on 1st May) lakini hatuoni concrete actions alizochukua dhidi ya wezi wa nchi hii (hasa wale waliondani ya uteuzi wake). Lakini pia I don't trust him tangu aliposema hajui mmiliki wa DOWANs na baada ya siku chache mwenye nayo akaonekana (refer vyombo vya habari wakati huo). Colleagues, believe me or not, the guy is ready to rule by gun till his end of his term and no body will touch him. He may or not appoint new ministerial cabinet but the situation will continue as usual. unfortunately nilikuwa nasoma katiba yetu jana nikaona hata akitoka madarakani no one will touch him. He is constitutionally protected. Akiona katiba mpya itamfunga, kwa makusudi aweza pia chelewesha processes zake-

My Take: Let every Tanzanian knows that we are really in political turmoil and each of us need to take action now

mkuu hapo ndipo kuna tatizo kuu kama kiongozi aliye ndani ya uteuzi wake akifanya madudu hachukuliwi hatua ni kwa sababu yuko behind the curtain na akiona watu wanalalamika sana anaweza kumpa likizo yenye malipo kupisha uchunguzi then anarudi au anampa kitengo kingine yaani hawezi kumtupa kivyovyote.
Hata kesi ikienda mahakamani itapigwa zenwe hadi ikose mvuto na baadaye jamaa anapeta mtaani.
 
Kila siku anapiga kelele kuhusu madawa ya kulevya, wakati mwanae rizwan ndio importer mkubwa wa madawa hayo kutokea brazil.
Kilichopo ni kwamba, kibali cha ku import sukari kukipata ni ishu, na anayekitoa ni Magembe, na sio mtu mwingine yeyote.
Riz icho kibali anacho, anashilikiana na wafanyabiashara wa unga kuingiza madawa, ndio maana vita inakuwa ngumu.
Hata mke wa Didas Masaburi (Janet Masaburi) nae anacho icho kibali, waindi hawakauki nyumbani kwa Masaburi kule kinyerezi...
 
Haya mwambie baba Michoo naye asubiri 2015 naye wakafanye biashara na binti na mchumba wake. Huyo mwanamke a,baye ni mchumba aliezaa naye ni business woman. My take? Shut up
 
Kila siku anapiga kelele kuhusu madawa ya kulevya, wakati mwanae rizwan ndio importer mkubwa wa madawa hayo kutokea brazil.
Kilichopo ni kwamba, kibali cha ku import sukari kukipata ni ishu, na anayekitoa ni Magembe, na sio mtu mwingine yeyote.
Riz icho kibali anacho, anashilikiana na wafanyabiashara wa unga kuingiza madawa, ndio maana vita inakuwa ngumu.
Hata mke wa Didas Masaburi (Janet Masaburi) nae anacho icho kibali, waindi hawakauki nyumbani kwa Masaburi kule kinyerezi...

Hata Matonya si alikamatwa china na angenyongwa lakini kwa sababu alitumwa na Ridhiwani JK alienda China kuongea na Hu Jintao akamwachia Matonya tunazidi ku connect Dots hapa. Thanks mkuu.
 
WaTanzania wenzangu hivi sasa ni muda mwafaka kila mmoja wetu kutega sikio la tatu hapa jamvini.

Kiuhakika kama mtu uliwahi kusikia suala la mazingira magumu mno ile ya 'MWAGA UNGA NA MIE NAMWAGA MBOGA BAKULI ZIMA NA KUFUNIKA NA SAMADI YA BINADAMU' basi ndio kama hii inayoendelea hivi sasa.

Siri zote sasa ndio kama hivo hadharani barabarani na huo huenda ikawa ni mwanzo tu kutoka huko jikoni mwao maana hata wale wanatuhurumia sisi ndugu zao kutokana na mambo ya ajabu sana yanayoendelea hivi sasa.

Hata hivo hili la madawa ya kulevya kutokukauka pale Kwa Manyanya; tuhurumiane jaama maana taifa ndio kama hivo linakosa nguvu kazi kwa furaha ya wachache tu kefedha nchini.


Kila siku anapiga kelele kuhusu madawa ya kulevya, wakati mwanae rizwan ndio importer mkubwa wa madawa hayo kutokea brazil.

Kilichopo ni kwamba, kibali cha ku import sukari kukipata ni ishu, na anayekitoa ni Magembe, na sio mtu mwingine yeyote.
Riz icho kibali anacho, anashilikiana na wafanyabiashara wa unga kuingiza madawa, ndio maana vita inakuwa ngumu.

Hata mke wa Didas Masaburi (Janet Masaburi) nae anacho icho kibali, waindi hawakauki nyumbani kwa Masaburi kule kinyerezi...
 
Mungu hadhihakiwi kila apandacho mtu ndicho atakachovuna. ukipata mema utavuna mema ukipanda mabaya utavuna mabaya.kwa hiyo watanzania msilie sana Mungu wa Mbinguni yupo kazini. ila wandugu sikilizeni bila kuweka ubalozi wa Israeli Tanzania, tutalia hadi basi kwa hiyo mmekaribisha Ishmaili Isaka mwenye ahadi mmemkataa mnategemea nini????? asikiaye na afahamu.......
 
Ulichoandika mwanzo mwisho hakina shaka hata chembe,kama wa tz hatuwezi chukua hatua tutaishia kulalamika miaka nenda rudi,pili kama hatuwezi kuchukua hatua tufanye kafara la kitaifa.angalia deni la taifa na hamna mtu anajali kweli inauma sana!
 
lowassa knows atalipua hii kitu soon tusimuone mjinga kukaa kimya
ataibua makubwa nchi itatetemeka

.
Lini? Tunataka itetemeke sasa ambapo walala hoi tumesaziwa nguvu kidogo tu. Hujui kamwe 'KESHO' haijawahi kuja?
.
 
Back
Top Bottom