Kuelekea 2025: Kanda ya Ziwa Msibemendwe kwa hila

TODAYS

JF-Expert Member
Apr 30, 2014
13,745
21,196
Amani kwako.

Tayari tumeanza kuliona jua la alfajiri kama bado umelala sikiliza sauti za ndege bila kuamka utafaham kuwa jua linachomoza

Twende kwenye mada; ndugu zangu Watanzania hasa wa kanda ya ziwa mmesikia sauti zinaanza kusikika na si kwa bahati mbaya ni ishara kuelekea 2025.

Kanda ya ziwa inaaminika kuwa ndiyo zone inayoweza kumbeba mgombea kupitia kura hasa za urais.

Mara nyingi wagombea wengi wanawachukulia poa watu wa kanda hiyo na wengine kipindi kile kikikalibia wanaanza kuja kukaa nanyi (kuwabemenda) kwa njia hiyo, msichukulie poa mbadirike.

Mahitaji mengi kwa Kanda ya ziwa hayajafikiwa zaidi ya wagombea kuja kuwapa ahadi zisizofanyiwa kazi au kupeperushwa.

Narudia, kanda ya ziwa jua linachomoza mshtuke msibemendwe mkachelewa kutembea.

PIA SOMA: 👉🏾 Nilichogundua watu wa ukanda ziwa Victoria ni wapole sana, hawana makuu na hawajui majungu
 
Amani kwako.

Tayari tumeanza kuliona jua la alfajiri kama bado umelala sikiliza sauti za ndege bila kuamka utafaham kuwa jua linachomiza

Twende kwenye mada; ndugu zangu Watanzania hasa wa kanda ya ziwa mmesikia sauti zinaanza kusikika na si kwa bahati mbaya ni ishara kuelekea 2025.

Kanda ya ziwa inaaminika kuwa ndiyo zone inayoweza kumbeba mgombea kupitia kura hasa za urais.

Mara nyingi wagombea wengi wanawachukulia poa watu wa kanda hiyo na wengine kipindi kile kikikalibia wanaanza kuja kukaa nanyi (kuwabemenda) kwa njia hiyo, msichukulie poa mbadirike.

Mahitaji mengi kwa Kanda ya Kiwa hayajafikiwa zaidi ya wagombea kuja kuwapa ahadi zisizofanyiwa kazi au kupeperushwa.

Narudia, kanda ya ziwa jua linachomoza mshtuke msibemendwe mkachelewa kutembea.
Acheni ujinga wenu! Nani kasema kanda ya Ziwa ndo inaamua Raisi?

Tanzania sehemu zote zina nyomi tena za kutosha
 
Amani kwako.

Tayari tumeanza kuliona jua la alfajiri kama bado umelala sikiliza sauti za ndege bila kuamka utafaham kuwa jua linachomiza

Twende kwenye mada; ndugu zangu Watanzania hasa wa kanda ya ziwa mmesikia sauti zinaanza kusikika na si kwa bahati mbaya ni ishara kuelekea 2025.

Kanda ya ziwa inaaminika kuwa ndiyo zone inayoweza kumbeba mgombea kupitia kura hasa za urais.

Mara nyingi wagombea wengi wanawachukulia poa watu wa kanda hiyo na wengine kipindi kile kikikalibia wanaanza kuja kukaa nanyi (kuwabemenda) kwa njia hiyo, msichukulie poa mbadirike.

Mahitaji mengi kwa Kanda ya ziwa hayajafikiwa zaidi ya wagombea kuja kuwapa ahadi zisizofanyiwa kazi au kupeperushwa.

Narudia, kanda ya ziwa jua linachomoza mshtuke msibemendwe mkachelewa kutembea.

PIA SOMA: 👉🏾 Nilichogundua watu wa ukanda ziwa Victoria ni wapole sana, hawana makuu na hawajui majungu
uongo utafiti unaonyesha kanda ya ziwa wanapiga kura bila upendeleo- wala hawabebi mtu.
 
Amani kwako.

Tayari tumeanza kuliona jua la alfajiri kama bado umelala sikiliza sauti za ndege bila kuamka utafaham kuwa jua linachomiza

Twende kwenye mada; ndugu zangu Watanzania hasa wa kanda ya ziwa mmesikia sauti zinaanza kusikika na si kwa bahati mbaya ni ishara kuelekea 2025.

Kanda ya ziwa inaaminika kuwa ndiyo zone inayoweza kumbeba mgombea kupitia kura hasa za urais.

Mara nyingi wagombea wengi wanawachukulia poa watu wa kanda hiyo na wengine kipindi kile kikikalibia wanaanza kuja kukaa nanyi (kuwabemenda) kwa njia hiyo, msichukulie poa mbadirike.

Mahitaji mengi kwa Kanda ya ziwa hayajafikiwa zaidi ya wagombea kuja kuwapa ahadi zisizofanyiwa kazi au kupeperushwa.

Narudia, kanda ya ziwa jua linachomoza mshtuke msibemendwe mkachelewa kutembea.

PIA SOMA: Nilichogundua watu wa ukanda ziwa Victoria ni wapole sana, hawana makuu na hawajui majungu
Sie tumesha mchague chief na mtemi Hangayi hatuitaji mgine 2025.
 
Amani kwako.

Tayari tumeanza kuliona jua la alfajiri kama bado umelala sikiliza sauti za ndege bila kuamka utafaham kuwa jua linachomiza

Twende kwenye mada; ndugu zangu Watanzania hasa wa kanda ya ziwa mmesikia sauti zinaanza kusikika na si kwa bahati mbaya ni ishara kuelekea 2025.

Kanda ya ziwa inaaminika kuwa ndiyo zone inayoweza kumbeba mgombea kupitia kura hasa za urais.

Mara nyingi wagombea wengi wanawachukulia poa watu wa kanda hiyo na wengine kipindi kile kikikalibia wanaanza kuja kukaa nanyi (kuwabemenda) kwa njia hiyo, msichukulie poa mbadirike.

Mahitaji mengi kwa Kanda ya ziwa hayajafikiwa zaidi ya wagombea kuja kuwapa ahadi zisizofanyiwa kazi au kupeperushwa.

Narudia, kanda ya ziwa jua linachomoza mshtuke msibemendwe mkachelewa kutembea.

PIA SOMA: 👉🏾 Nilichogundua watu wa ukanda ziwa Victoria ni wapole sana, hawana makuu na hawajui majungu
Tushasema liawalo na liwe, baada ya kubeza juhudi za Hayati John Pombe Magufuli tumeamua kuwaadabisha katika sanduku la kura 2025
 
Acheni ujinga wenu! Nani kasema kanda ya Ziwa ndo inaamua Raisi?
Tanzania sehemu zote zina nyomi tena za kutosha
Juzi tumezindua mkakati kuelekea sensa ya watu 2022 so ondosha jazba kichwani kwako utaelewa tu muda ukifika.
 
Umefika Kigoma wewe? Umefika Tabora? Umefika Mbeya? Umefika Morogoro wilaya zote?

Acheni ujinga!
Kigoma naijua labda hata zaidi yako,nimeishi Nyarubanda,Nyabutusi,Kasulu,Kibondo,Kankonko,hiyo mikoa ya Tabora na Kigoma huwa sisi huku tunaihesabu kama kanda ya Ziwa,Tabora kwa kuwa inavinasaba na wasukuma na Kigoma kwa kuwa ina Ziwa
 
Kigoma naijua labda hata zaidi yako,nimeishi Nyarubanda,Nyabutusi,Kasulu,Kibondo,Kankonko,hiyo mikoa ya Tabora na Kigoma huwa sisi huku tunaihesabu kama kanda ya Ziwa,Tabora kwa kuwa inavinasaba na wasukuma na Kigoma kwa kuwa ina Ziwa
Kweli yote hiyo inahesabika ni kanda ya ziwa
 
shida kubwa ya kanda la ziwa ni ukosefu wa fikira, elimu nduni, wale watu wako nyuma miaka 300. umasikini ule uko kanda la ziwa na sio tu wa mali, mbali na pia wa akili, acha tu
Sidhani kama kuna kanda inayoizidi kanda ya ziwa kwa wasomi. Na hata huko mavyuoni tulikopita, wamejazana watu wa kanda ya ziwa na wachagga.

Kuhusu umasikini, umeongopa kupitiliza. Japo Tanzania yote ni masikini, ila kanda ya ziwa iko na nafuu sana. Nenda kusini huko ukaone umasikini kama hujarudi hapa kufuta comment yako.

Tofauti na wizi wa kura, CCM haijawahi kushinda uchaguzi kanda ya ziwa, labda Mwanza peke yake. Ukiachana na kaskazini, kanda ya ziwa ndio kuna upinzani hasa!
 
Umefika Kigoma wewe? Umefika Tabora? Umefika Mbeya? Umefika Morogoro wilaya zote?

Acheni ujinga!
Hapa tunazungumzia kanda hatuzungumzii mkoa, kwenye issue ya uchaguzi kuna kanda huwa zina amua kupitia uwingi kwenye sanduku.
 
Back
Top Bottom