Kudisco chuo na kupata usaili upya

Achana na mambo ya kusoma wewe.....Mungu aliposababisha u disco maana yake alikuepusha na manyanyaso yatokanayo na kusoma. Mfano, mishahara midogo, tishio la redunduncy, hatari ya kufukuzwa kazi bila kisa na mkasa na madeni ya benki yatokanayo na mikopo ya mshahara midogo nk. Kuwa mjasitiamali utaajiri watu wenye PhD!!!
 
Achana na mambo ya kusoma wewe.....Mungu aliposababisha u disco maana yake alikuepusha na manyanyaso yatokanayo na kusoma. Mfano, mishahara midogo, tishio la redunduncy, hatari ya kufukuzwa kazi bila kisa na mkasa na madeni ya benki yatokanayo na mikopo ya mshahara midogo nk. Kuwa mjasitiamali utaajiri watu wenye PhD!!!

True ....huo mda atumie kujiajir atafika mbal...
 
Ukidisco ata kama ulikuwa 3rd year...ukienda chuo kingine chochote lazima uanze 1st year, application upyaaaa!!
 
Achana na mambo ya kusoma wewe.....Mungu aliposababisha u disco maana yake alikuepusha na manyanyaso yatokanayo na kusoma. Mfano, mishahara midogo, tishio la redunduncy, hatari ya kufukuzwa kazi bila kisa na mkasa na madeni ya benki yatokanayo na mikopo ya mshahara midogo nk. Kuwa mjasitiamali utaajiri watu wenye PhD!!!

Nimeipenda sana hii!!!!
 
Wew kijana kasome achana ushaur mwingn ambao hauna maana hamna cha biashara wala nn haujawaona watu wanavyoteseka mtaan ambao hawana elimu??????? kasome kijana we bado kijana
 
Wanajamii forum naomba msaada kujua kuna taratibu zipi zinafuatwa kwa mtu aliye disco na anataka kuomba tena chuo?
Pole sana dogo, kama wewe ulijiunga chuo kupitia tcu unachotakiwa kufanya.

1. Nenda tcu uwaandikie barua ukiwajulisha kwamba umedisco ila unataka kuendelea na masomo mwaka huu, uambatanishe na barua yako au matokeo yako ya kudisco ili wakupe nafasi nyingine ya kujisajili upya kwenye data base yao maana jina lako bado lipo na ukijaribu kujiunga sasa watakukatalia kwa maana kwamba wanazuia cheti kimoja kutumiwa na watu wawili kwa hiyo itabidi wewe mwenyewe uwambie umedisco na upeleke matokeo yako watakupa nafasi.

2. Angalia utaratibu wa chuo ulichodisco kama wanaruhusu mtu aliedisco kuendelea na masomo au kuanza masomo mwanzo ili uombe kuanza mwanzo,kuna vyuo vinaruhusu ila tu kama hukukukata rufaa ya matokeo yako na uliyapokea kwa mikono miwili bila shuruti na ukaenda kuchukua barua ya kudisco.

Ila mambo ya kusema hadi miaka 3 haipo siku hizi,hayo yalikua chuo kukuu vha daslam miaka ila ndip kilikua chip kikuu pekee ukidisco hadi miaka 3 ila sasa vyuo ni vingi unadisco hapa unahamia kwingine mwaka huo huo.

Pole sana dogo.
 
Inawezekana mkuu ila inabidi ufanye mishe sana na uwe na connections,sisi wakati tupo second yr coet kuna mshikaji wetu tulikua tunasoma nae civil engineering alidisko ila alifanyiwa transfer ya credit akaendelea sua irrigation engineering
 
Na ndogo wangu amedisco Udom pale mwaka wa 3

duh!ila hawa vijana wanadisco sana,sijui tatizo ni kwamba wanaenda vyuon wakiwa na umri mdogo sana au wanalewa na starehe za huko?
Imekua too much kila nikiingia hili jukwaa lazima nikutane na kesi ya dogo kadisco na hasa hvi vyuo viwili udsm na udom..
Hapo hakuna namna mkuu,huyo inabidi aanze mwaka wa kwanza tena na wewe ndio ujitwike mzigo wa kumsomesha maana loan board ndo haitamtambua tena.
 
Kama Ujui kitu sio lazima uchangie,dogo mkopo atapata anachotakiwa aende bodi alipe asilimia 25 ya mkopo aliotumia na atafanikiwa kupata mkopo tena,Kuna watu wanachangia kama sio wasomi kama Ujui TANG'ANA kaa kimyaaaaaaa
 
Kama Ujui kitu sio lazima uchangie,dogo mkopo atapata anachotakiwa aende bodi alipe asilimia 25 ya mkopo aliotumia na atafanikiwa kupata mkopo tena,Kuna watu wanachangia kama sio wasomi kama Ujui TANG'ANA kaa kimyaaaaaaa

in my time wkt nasoma hayo mambo ya kulipa 25% yalikua hayapo,sasa unavosema nachangia kama sio msomi unakosea,ulitakiwa unielimishe,usidhani watu wote tumesoma wakati mmoja humu kijana.
 
Inawezekana mkuu ila inabidi ufanye mishe sana na uwe na connections,sisi wakati tupo second yr coet kuna mshikaji wetu tulikua tunasoma nae civil engineering alidisko ila alifanyiwa transfer ya credit akaendelea sua irrigation engineering
acha porojo sua hatupokei makapi!!!!
 
Salaam!

Jamani nimedisco 2nd semista na ninahitaji kuendelea na masomo je kipi nifanye ili niweze kuendelea, 1st semicta nna GPA nzuri tu.
 
Kuna option moja tu,nayo ni kuanza 1st year upya..mwakani na usohangaike kwenda bodi kuzui mkopo kama ulikuwa nao maana tayari chuo kitakuwa kimepeleka majina la continuing students na discolifides pia...pole sana na usikate tamaa
 
Duh, uktaka kujua umuhmu wa C pata D na uktaka kujua D nzur pata E na uktaka kujua umuhmu wa E pata DISC. Pole xn mkuu, anza 1 bado nafac unayo.
 
Back
Top Bottom