Kudisco chuo na kupata usaili upya

Kudisco chuo na kupata usaili upya

unaweza soma ila n baada ya admission yako kua invallid xo na after 3 yrz na mkopo coz itaonekana uliishia njian itabd uurudishe wote ndo kwa mara moja ndo upewe mpya

Asante Mkuu MAULA
 
Last edited by a moderator:
Kisheria inabidi ukae paka wale ulimaliza nao wamalize yan kama umedisco first yr yan after 3yrs lakin this is nt applied wengi nawafahamu wameendelea na masomo ktk vyuo tofauti ila kwa sasa the diffucult comes on hw to get a loan ila enzi zetu mkuu it waz sthng simple kwan hawakuwa na smart data base ya kutambua wanafunzi ndo maana watu tulikuwa tunapata mikopo hata mara nne ktk chuo kimoja na hata kama umeomba vyuo vingine na kupata unashangaa loan zinaenda paka uko bt anyway either it is u or ur peer make a trial tu
 
Wakati ule pesa tulikuwa tunapewa na wizara ya Sayansi Technolojia na Elimu ya Juu(enzi za Ng'wandu).

Ulikuwa uki-disco unakaa kwa miaka3-5 hivi kutegemea na chuo. Baadae unaomba hata chuo kilekile, ila udhamini wa serikali hamna. Ilikuwa ni udhamini wa serilali na siyo loanboard.

Wakati ule ili upate huo udhamini ujue ulifaulu sana form6 au diploma/FTC.
 
unaweza soma ila n baada ya admission yako kua invallid xo na after 3 yrz na mkopo coz itaonekana uliishia njian itabd uurudishe wote ndo kwa mara moja ndo upewe mpya

Nashukuru Mkuu MAULA Kwa Kunifahamisha
 
Last edited by a moderator:
Wakat ule pesa tulikuwa tunapewa na wizara ya Sayansi Technolojia na Elimu ya Juu(enzi za Ng'wandu). Ulikuwa uki-disco unakaa kwa miaka3-5 hivi kutegemea na chuo. Baadae unaomba hata chuo kilekile, ila udhamini wa serikali hamna. Ilikuwa ni udhamini wa serilali na siyo loanboard. Wakati ule ili upate huo udhamini ujue ulifaulu sana form6 au diploma/FTC.

Asante Mkuu CHAZA Nimekuelewa Vizuri sana
 
Last edited by a moderator:
Unasoma degree hata Havard au MIT au Yale popote unapotaka mradi mpunga uwepo na kama UDSM basi ukitaka usome ile degree ulidisco inabd ukae miaka mi4 hadi mi5 kama hautaki basi next yr unapply kozi nyingne.
 
Unasoma degree hata Havard au MIT au Yale popote unapotaka mradi mpunga uwepo na kama UDSM basi ukitaka usome ile degree ulidisco inabd ukae miaka mi4 hadi mi5 kama hautaki basi next yr unapply kozi nyingne.

Nimekuelewa Mkuu King Kong III Nashukuru sana
 
Last edited by a moderator:
Habari Zenu wakuu.. Hivi mtu aliye Disco anaweza kuchukua tena Degree kwa Mara nyingine? Je anaweza pata mkopo kutoka HESLB? Naomba mnijuze wakuu

Loh,hongera mkuu.Kumbe mwenzetu degree unachukua tu.
Samahani,unataka ukaichukulie chuo gani vile?
 
Wakuu nilishasema niliteleza hapo kwenye kuchukua na kusomea.. Nisingependa ku edit post yangu coz itawachanganya wengine.. Nashukuru pia kwa mawazo YEnu Mazuri.. Ila sina maana kwamba NIMEDISCO !!!!
 
Hamna limitation unaweza kuomba nafasi ya chuo hata mwaka huu ila kupata ufanyili wa bodi ya mikopo ni mpaka urejeshe asilimia 25% ya mkopo wa awali. Ila apply kote tcu na omba mkopo na utapata ufafanuzi baada ya majina kupitishwa na bodi.
 
Kisheria huruhusiwi kuomba adahili katika chuo chako cha kwanza (where you were discontinued) mpaka ipite miaka mitatu. Ila kwa chuo kingine chochote tofauti na ulichodisco unaruhusiwa kuomba na utadahiliwa kama kawaida.
 
Nahisi ndiye wewe unayesoma eagle wing,,
Kwa taarifa yako tu mimi nipo hapa mlimani na nazijua taratibu zote, sema nikuelekeze. Tunaongea facts siyo vitu vya kusikiasikia..
Next time jifunze kuongea na wasomi siyo kuropokaropoka

mkuu ukidisco unaomba umpya chuo chochote muda wowote kijana acha ubishi "kunajamaa kadisco udom mwaka juzi now tunapiga naye engineering hapa sua ubishi wako nini?
 
Nahisi ndiye wewe unayesoma eagle wing,,
Kwa taarifa yako tu mimi nipo hapa mlimani na nazijua taratibu zote, sema nikuelekeze. Tunaongea facts siyo vitu vya kusikiasikia..
Next time jifunze kuongea na wasomi siyo kuropokaropoka

mxxxiiiuuu...ebu kapitie prospectus ya mlimani boya wewe....alafu ndo urudi hapa...nasikitika sana siku hizi hapa mlimani kuna madogo wavivu na much know sana...unabisha na vitu vipo wazi na hata ndani ya prospectus au tatizo ni lugha hukuelewa
 
mkuu ukidisco unaomba umpya chuo chochote muda wowote kijana acha ubishi "kunajamaa kadisco udom mwaka juzi now tunapiga naye engineering hapa sua ubishi wako nini?

Ungenielewa usingehangaika kunijibu. Nilisema hivi: kisheria ukidisco ktk chuo flani (mfano udisco udsm) na ukahitaji tena kuomba chuo hichohicho course hiyohiyo itakubidi usubiri mpaka wenzako wamalize (yaan miaka mitatu au minne, kutegemea na course duration), ila ukitaka kuomba chuo hichohicho course tofauti na ya mwanzo (uliyodisco) unaruhusiwa anytime. Na chuo chochote kingine utaruhusiwa muda wowote utakaoomba. Nahisi nimesomeka
 
mxxxiiiuuu...ebu kapitie prospectus ya mlimani boya wewe....alafu ndo urudi hapa...nasikitika sana siku hizi hapa mlimani kuna madogo wavivu na much know sana...unabisha na vitu vipo wazi na hata ndani ya prospectus au tatizo ni lugha hukuelewa

Page namba ngapi ktk prospectus inayoonesha hayo? mi ninayo prospectus nilivyokuwa undergraduate na pia ninayo ya postgraduate ninayoitumia hapa...
Hebu nipe ukurasa unaoonesha hayo unayosema, na mimi nitai-shotscreen hiyo page niupload hapa kama ushahidi.

POINT OF CORRECTION:
usirukie kuwaita watu majina ya ajabu kama huwajui
 
Nimependa sana hii kauli, kuna watu hawatambui hili wanang'ang'ana na shule maisha yao yote

Mkuu kwel watu wanatumia resources nyingi na muda kwenye elimu anakuja kulipwa laki mbil.zile pesa na mda angewekeza angekuwa anavuna laki mbili kwa week.lengo la kusoma ili ipate pesa so fine other means unlike kusoma.
 
Ukifeli tafuta kingine chakufanya usilazimishe fani
 
Ukifeli tafuta kingine chakufanya usilazimishe fani

hapana mkuu, kuna wanafunzi walichagua course kwa sifa tu na kufuata mkumbo!

Halafu si disco zote huwa zinasababishwa na kutosoma, wengine wanakuwa wa matatizo binafsi vipindi vya mwisho!
 
Back
Top Bottom