Wakuu naombeni kufahamishwa kama mtu kadisco chuo anaweza kuaply TCU kuomba upya chuo.Ndani ya kipindi cha mwaka mmoja tangia adisco
mkopo sahau.
Umedisco co?anway,omba 2 inawezekana mkuu.
Mambo ya chuo nilishasahau siku nyingi ni dogo kaharibu ndo nilikuwa natafuta solution.
Habari Zenu wakuu.. Hivi mtu aliye Disco anaweza kuchukua tena Degree kwa Mara nyingine? Je anaweza pata mkopo kutoka HESLB? Naomba mnijuze wakuu
Anaweza kuchuku sasa ivi elimu imekua poa tofauti na miaka ya nyuma,kuna jamaa yangu alidisco ud mwaka uliofata aka-apply tcu akapata muccobs na loan wakampa.
degree hata akitaka kumi anaweza kuchukua ni bidii yake kubukua tu, lakini suala la mkopo mimi sijui. Unachopaswa kujua ni kuwa chuo ulipodisko waweza pewa muda kidogo kujipanga kabla hujaanza upya. Kudisko ni kujikwaa tu si mwisho wa safari.
Unaweza kwenda institution nyingine ukachukue degree huko. Hilo linawezekana. Ila kuhusu kupewa tena mkopo no hiyo bodi ya mikopo kwa hili sina uhakika labda ucheki nao.
Jamaa yangu miaka ileee tulikuwa wote UDSM, yeye alikuwa FoE akichukua ME, akapigwa supu/kinywaji, ngoma ikadoda akalicheza disco. Then baada ya mwaka akarudi kuja kuchukua BSc-Physics na alimaliza poa tu.
Mwingine alidisco SUA na akaenda Muhimbili akamaliza na BSc-Pharm. Wengine walidisco UDSM wakaenda ughaiguni na wamemaliza poa tu
Inawezekana usife moyo mkuu