kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
wewe haujioni unavyohangaika?Mbona unahangaika mzee shida nini?
wewe haujioni unavyohangaika?Mbona unahangaika mzee shida nini?
angezadharau ungekaa kimya totallyUnaongea pumba, watu wanakudharau hawakujibu alafu unarudi tena kucheua mashudu..pole zako
Upinzani ungekuwepo uume ungeshaga kudoboa sanaKwahiyo wewe wanachama million moja Ni Wachache au hata hesabu ulifeli. Hujui Kama hiyo Ni kubwa kuliko idadi ya wanachama wote wenye kadi wa vyama vya Upinzani nchini.
Back to school Miss
kwamba wanachama wa ccm ni mil 1 tu ?Niulize tu, kwani udhamini ni kwa kila mtu au wanachama wao?
Labda hata fomu yenyewe haikuwa imeandikwa chochote tu lilikuwa geresha??🤔🤔🤔Naomba kufahamu alizungukia lini mikoa hyo yote kumi wakati fomu alichukua juzijuzi?
Nilitegemea jibu tena unauliza swali, dah!!kwamba wanachama wa ccm ni mil 1 tu ?
Kwa hiyo mwalimu wako alikufundisha kuwa ukiuliza maswali mawili ndani ya sentensi moja unatakiwa kuweka alama mbili za ulizo,hebu nipe namba zake nimchunguze mwalimu wako,isije kuwa kosa si lako bali alokufundisha.Unless you are quoting or writing conversation, you would not put a question mark in the middle of a sentence or a compound sentence as you have written.
Wewe na wenzako Ndutulyama KIGENE mr chopa stakehigh , vilaza mliosapoti na kutoa likes...shule ya kata mumeenda kusomea ujinga? Viazi kabisa.🤦🏾♂️
Ngoja kwanza acha kupaniki dogo,kwanza wewe na mwenzako nilikuwa naomba kumfahamu mwalimu wenu kwa sababu nimegundua kosa lipo kwake,sitaki kuwalaumu sana nyie,mwalimu mwalimu mwalimu,aliwaaingiza chaka mkaingia.We dogo hayo ni maswali mawili jibu sio unapayuka kàma shimo la haja
Sio kweli hata kidogo. Udhamini sio kura za maoni au uchaguzi ndio maana hutolewa fomu chache ili kuwafikia wanachama. Ukumbuke kuwa udhamini hautolewi na kila mwananchi hivyo hoja yako ya idadi ya watu mikoani au Dar ni dhaifu sana. Wanachama wanaopata fursa ya kudhamini ni wachache sana hususani wilayani na mikoani ambako vyama vina ofisi zao. Hivyo hupaswi kulinganisha udhamini na idadi ya watu nchini utakuwa unakosea sana. Kwa tuliowahi kushiriki zoezi hili tunafahamu vizuri ila nyie vijana mlioingia kwenye siasa kwa kutamani mabadiliko hamuwezi kufahamu haya. Uliza wajuao wakujuze kabla hujaleta uzi huku.Kama Rais wa nchi anapata wadhamini wachache kiasi hicho basi hii ni dalili mbaya sana.
DSM pekee inakadiriwa kuwa na watu zaidi ya mil 5 na bila shaka yaweza kuwa na watu wazima ( kwa maana ya wapiga kura ) zaidi ya mil. 2 unusu, sasa ikiwa hawa na wa mikoa mingine 9 waliomdhamini Mgombea pekee wa CCM ni milioni 1 tu hii ni ishara ya Magufuli kukataliwa.
Mwisho wa CCM bila shaka yoyote umefika rasmi.
Pia soma > Uchaguzi 2020 - Dkt. John Magufuli amerudisha fomu ya maombi ya kugombea Urais Makao Makuu ya CCM
Huna level na uelewa wa kubishana wala kuwa na mjadala na Mimi. Tafuta saizi yako avae.Kwa hiyo mwalimu wako alikufundisha kuwa ukiuliza maswali mawili ndani ya sentensi moja unatakiwa kuweka alama mbili za ulizo,hebu nipe namba zake nimchunguze mwalimu wako,isije kuwa kosa si lako bali alokufundisha.
Mbona unaweka malapa kwapani na kukimbia,acha paniki.Huna level na uelewa wa kubishana wala kuwa na mjadala na Mimi. Tafuta saizi yako avae.
Magu si ndio Yesu ? Au unajisahaulishaMungu mbariki Magufuli.
Kumbe ndio unavyodhani?Magu si ndio Yesu ? ...
TATIZO LINAONEKANA JAMAA WEWE HUJAELEWA MAANA YA UDHAMINI,HEBU KWANZA TUANZIE HAPO,HIVI UNAPOSIKI NENO WADHAMINI MIA MBILI KILA MKOA UNAELEWA NINI ?
Umeshapiga mswaki mlamuwa? Una njaa!Mbona unaweka malapa kwapani na kukimbia,acha paniki.
Ulikimbia na viatu mkononi,nini kimekurudisha nyuma.Umeshapiga mswaki mlamuwa? Una njaa!
Hii nchi gano mkuu yenye wanaccm mil60Ujenge viwanda 8,477 na ucreate ajira 6,039,299 just in 5 years halafu uishie kupata udhamini wa Watanzania milioni 1 tu kati ya million 60 less than 2% ya Watanzania inaonyesha wazi jinsi ULIVYOFULIA.
Nyie ni masikini lakini ni ccm. Unauza sura.Ulikimbia na viatu mkononi,nini kimekurudisha nyuma.