Uchaguzi 2020 Kudhaminiwa na watu mil. 1 tu kwenye mikoa 10, kimsingi ni kwamba Magufuli na CCM yake wamekataliwa kabla ya wakati

Kwahiyo wewe wanachama million moja Ni Wachache au hata hesabu ulifeli. Hujui Kama hiyo Ni kubwa kuliko idadi ya wanachama wote wenye kadi wa vyama vya Upinzani nchini.

Back to school Miss
Upinzani ungekuwepo uume ungeshaga kudoboa sana
 
Unless you are quoting or writing conversation, you would not put a question mark in the middle of a sentence or a compound sentence as you have written.

Wewe na wenzako Ndutulyama KIGENE mr chopa stakehigh , vilaza mliosapoti na kutoa likes...shule ya kata mumeenda kusomea ujinga? Viazi kabisa.🤦🏾‍♂️
Kwa hiyo mwalimu wako alikufundisha kuwa ukiuliza maswali mawili ndani ya sentensi moja unatakiwa kuweka alama mbili za ulizo,hebu nipe namba zake nimchunguze mwalimu wako,isije kuwa kosa si lako bali alokufundisha.
 
We dogo hayo ni maswali mawili jibu sio unapayuka kàma shimo la haja
Ngoja kwanza acha kupaniki dogo,kwanza wewe na mwenzako nilikuwa naomba kumfahamu mwalimu wenu kwa sababu nimegundua kosa lipo kwake,sitaki kuwalaumu sana nyie,mwalimu mwalimu mwalimu,aliwaaingiza chaka mkaingia.
 
Kama Rais wa nchi anapata wadhamini wachache kiasi hicho basi hii ni dalili mbaya sana.

DSM pekee inakadiriwa kuwa na watu zaidi ya mil 5 na bila shaka yaweza kuwa na watu wazima ( kwa maana ya wapiga kura ) zaidi ya mil. 2 unusu, sasa ikiwa hawa na wa mikoa mingine 9 waliomdhamini Mgombea pekee wa CCM ni milioni 1 tu hii ni ishara ya Magufuli kukataliwa.

Mwisho wa CCM bila shaka yoyote umefika rasmi.

Pia soma > Uchaguzi 2020 - Dkt. John Magufuli amerudisha fomu ya maombi ya kugombea Urais Makao Makuu ya CCM
Sio kweli hata kidogo. Udhamini sio kura za maoni au uchaguzi ndio maana hutolewa fomu chache ili kuwafikia wanachama. Ukumbuke kuwa udhamini hautolewi na kila mwananchi hivyo hoja yako ya idadi ya watu mikoani au Dar ni dhaifu sana. Wanachama wanaopata fursa ya kudhamini ni wachache sana hususani wilayani na mikoani ambako vyama vina ofisi zao. Hivyo hupaswi kulinganisha udhamini na idadi ya watu nchini utakuwa unakosea sana. Kwa tuliowahi kushiriki zoezi hili tunafahamu vizuri ila nyie vijana mlioingia kwenye siasa kwa kutamani mabadiliko hamuwezi kufahamu haya. Uliza wajuao wakujuze kabla hujaleta uzi huku.
 
Kwa hiyo mwalimu wako alikufundisha kuwa ukiuliza maswali mawili ndani ya sentensi moja unatakiwa kuweka alama mbili za ulizo,hebu nipe namba zake nimchunguze mwalimu wako,isije kuwa kosa si lako bali alokufundisha.
Huna level na uelewa wa kubishana wala kuwa na mjadala na Mimi. Tafuta saizi yako avae.
 
TATIZO LINAONEKANA JAMAA WEWE HUJAELEWA MAANA YA UDHAMINI,HEBU KWANZA TUANZIE HAPO,HIVI UNAPOSIKI NENO WADHAMINI MIA MBILI KILA MKOA UNAELEWA NINI ?

Anaelewa sana anacho zungumza, tatizo ni kwamba akili za kundi hili lililo shindwa uchaguzi 2015 akili zao zimekaa fyatu kidogo i.e hawako sawa hata kidogo, ndio maana akina Lowasa na Sumaye walihamua kusepa chama cha ambacho viongozi wake na members ni predominantry ni akina Mangi/Bwashee!!zLowasa na Sumaye na wabunge wao kibao wakarudi CCM.

Mtu na akili zako timamu huwezi kuja na hoja zako mfirisi eti kwa nini JPM hakumwachia MEMBE ashike kijiti cha kuwania Urais, would you believe it? Tangu lini Tanzania ilianza kuongozwa kama ukoo wa Kifalme kwa kuridhishana vyeo?Kama hoja zenu hizi hizi za stone age era nasikitika kuwambieni kwamba mtasubiri karne nzima kuingia Ikulu.
 
Ujenge viwanda 8,477 na ucreate ajira 6,039,299 just in 5 years halafu uishie kupata udhamini wa Watanzania milioni 1 tu kati ya million 60 less than 2% ya Watanzania inaonyesha wazi jinsi ULIVYOFULIA.
Hii nchi gano mkuu yenye wanaccm mil60
 
  • Thanks
Reactions: M12
Back
Top Bottom