Jolie Jolie JF-Expert Member Joined Dec 28, 2017 Posts 7,406 Reaction score 13,823 Mar 10, 2018 #21 yna12 said: Ila duniani bana..nlionaga kipindi mdada kawa mkaka na mkaka kawa mdada..wameoana na wanajijua kama ni matransfer gender..shubaaat!! Click to expand... Hao wanaume wakawa wanawake wanaweza kuzaa watoto au,sababu nini hasa kujifanya hivyo?
yna12 said: Ila duniani bana..nlionaga kipindi mdada kawa mkaka na mkaka kawa mdada..wameoana na wanajijua kama ni matransfer gender..shubaaat!! Click to expand... Hao wanaume wakawa wanawake wanaweza kuzaa watoto au,sababu nini hasa kujifanya hivyo?
yna12 JF-Expert Member Joined Jan 2, 2018 Posts 1,936 Reaction score 2,318 Mar 10, 2018 #22 Jolie Jolie said: Hao wanaume wakawa wanawake wanaweza kuzaa watoto au,sababu nini hasa kujifanya hivyo? Click to expand... Me hata sielewi
Jolie Jolie said: Hao wanaume wakawa wanawake wanaweza kuzaa watoto au,sababu nini hasa kujifanya hivyo? Click to expand... Me hata sielewi
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 97,154 Reaction score 137,162 Mar 10, 2018 #23 Companero said: Hapana, ila Nyani Ngabu kaishi sana mitaa yao Click to expand... Dogo acha uongo! Darajani pale nani alikuwa tranny? Ngoma Mbago?
Companero said: Hapana, ila Nyani Ngabu kaishi sana mitaa yao Click to expand... Dogo acha uongo! Darajani pale nani alikuwa tranny? Ngoma Mbago?
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 97,154 Reaction score 137,162 Mar 10, 2018 #24 Companero said: Mmh, haya Mkuu, naona unabania uzoefu wako wa mitaa ya Michiana na Wichita Click to expand... Wichita hata kufika sijawahi! Au unanichanganya na mtu mwingine?
Companero said: Mmh, haya Mkuu, naona unabania uzoefu wako wa mitaa ya Michiana na Wichita Click to expand... Wichita hata kufika sijawahi! Au unanichanganya na mtu mwingine?
yna12 JF-Expert Member Joined Jan 2, 2018 Posts 1,936 Reaction score 2,318 Mar 10, 2018 #25 Companero said: Hivyo, hauko tayari kuwa na 'trans' hata kama kabadilika kikamilifu? Click to expand... Hata kwa bunduki
Companero said: Hivyo, hauko tayari kuwa na 'trans' hata kama kabadilika kikamilifu? Click to expand... Hata kwa bunduki
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 97,154 Reaction score 137,162 Mar 10, 2018 #26 Companero said: Kuna NN mmoja tu, haya turudi kwenye mada - Transwomen uliokutana nao wanakidhidi vigezo vya kuitwa wanawake? Click to expand... Naam. Yupo mmoja na katu hajawahi kukanyaga ardhi ya Wichita. Huo ndo ukweli. Kuhusu hao watu wako, kwa ufahamu wangu sijawahi kukutana nao. Huwa nawasikia na kuwaona kwenye tivii tu.
Companero said: Kuna NN mmoja tu, haya turudi kwenye mada - Transwomen uliokutana nao wanakidhidi vigezo vya kuitwa wanawake? Click to expand... Naam. Yupo mmoja na katu hajawahi kukanyaga ardhi ya Wichita. Huo ndo ukweli. Kuhusu hao watu wako, kwa ufahamu wangu sijawahi kukutana nao. Huwa nawasikia na kuwaona kwenye tivii tu.
Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 97,154 Reaction score 137,162 Mar 10, 2018 #27 Companero said: Yaani hapo kwenye "ufahamu" umehitimisha mada, no further question. Click to expand... Kwa ufahamu=to my knowledge. Usipotoshe.
Companero said: Yaani hapo kwenye "ufahamu" umehitimisha mada, no further question. Click to expand... Kwa ufahamu=to my knowledge. Usipotoshe.
palsa JF-Expert Member Joined Apr 24, 2011 Posts 1,345 Reaction score 1,712 Mar 10, 2018 #28 Watu mpaka wanaoa bila kujua
Son of a Pagan JF-Expert Member Joined May 21, 2017 Posts 359 Reaction score 542 Mar 10, 2018 #29 digalangosha said: Hivi bongo hawapo kweli...? Wazee wa experience tukaongeze nyama kwenye cv Click to expand...
digalangosha said: Hivi bongo hawapo kweli...? Wazee wa experience tukaongeze nyama kwenye cv Click to expand...
Jolie Jolie JF-Expert Member Joined Dec 28, 2017 Posts 7,406 Reaction score 13,823 Mar 10, 2018 #30 Companero said: Kama wanaweza kuzaa utakuwa tayari kuwa na mmoja wao? Click to expand... Hapana kwa kweli siwezi
Companero said: Kama wanaweza kuzaa utakuwa tayari kuwa na mmoja wao? Click to expand... Hapana kwa kweli siwezi
Kipanga boy JF-Expert Member Joined May 28, 2017 Posts 1,409 Reaction score 1,231 Mar 10, 2018 #31 Mnawazaga ujinga sana wakati mwingine
dabluz JF-Expert Member Joined Feb 28, 2013 Posts 2,455 Reaction score 1,676 Mar 10, 2018 #32 Jolie Jolie said: Kim kardashian sijui hua anajisikiaje kumuona babake kawa mwanamke,sijui atamwita mama Click to expand... Familia ya Laana ile..
Jolie Jolie said: Kim kardashian sijui hua anajisikiaje kumuona babake kawa mwanamke,sijui atamwita mama Click to expand... Familia ya Laana ile..
Son of a Pagan JF-Expert Member Joined May 21, 2017 Posts 359 Reaction score 542 Mar 10, 2018 #33 Mtoa mada wewe unakipi cha kusema? Kwanza naomba kujua jinsia yako
Lovery JF-Expert Member Joined Aug 15, 2014 Posts 1,602 Reaction score 3,396 Mar 10, 2018 #34 Kama hawa hapa
KIKAZI JF-Expert Member Joined Aug 26, 2014 Posts 1,369 Reaction score 1,516 Mar 10, 2018 #35 Companero said: Ndugu Nyani Ngabu na Wabeba Maboksi wenzangu, Salaam! Transgender huku sasa wako kila kona. Hata kuwatambua sasa ni vigumu. Ukimdeti Transgender bila kujua, je, siku ukijua utaachana naye au la? Kwa nini? Mf. Transgender 'Janet Mock' joins the Latest List of Times '12 New Faces of Black Leadership' - Golden Icons Shukrani, Companero Click to expand... Mdau ebu tujuze dhumuni lako ww kuhusu transgender jinsi unavyowafahamu ila kwa bongo sijui kama wapo?
Companero said: Ndugu Nyani Ngabu na Wabeba Maboksi wenzangu, Salaam! Transgender huku sasa wako kila kona. Hata kuwatambua sasa ni vigumu. Ukimdeti Transgender bila kujua, je, siku ukijua utaachana naye au la? Kwa nini? Mf. Transgender 'Janet Mock' joins the Latest List of Times '12 New Faces of Black Leadership' - Golden Icons Shukrani, Companero Click to expand... Mdau ebu tujuze dhumuni lako ww kuhusu transgender jinsi unavyowafahamu ila kwa bongo sijui kama wapo?
bablon6 JF-Expert Member Joined Jan 26, 2018 Posts 630 Reaction score 568 Mar 10, 2018 #36 Nan anataka ni mbadilishe?nifate
Jolie Jolie JF-Expert Member Joined Dec 28, 2017 Posts 7,406 Reaction score 13,823 Mar 10, 2018 #37 Companero said: Kwa nini huwezi ilhali kila kitu kiko sawa? Click to expand... Anakuaje sawa wakati amejibadilisha,alikua mwanaume by nature,aje ajbadilishe akue mwanamke(artificial) hawezi kua sawa bana
Companero said: Kwa nini huwezi ilhali kila kitu kiko sawa? Click to expand... Anakuaje sawa wakati amejibadilisha,alikua mwanaume by nature,aje ajbadilishe akue mwanamke(artificial) hawezi kua sawa bana
Nokia83 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 24,643 Reaction score 44,371 Mar 10, 2018 #38 Jolie Jolie said: Anakuaje sawa wakati amejibadilisha,alikua mwanaume by nature,aje ajbadilishe akue mwanamke(artificial) hawezi kua sawa bana Click to expand... Leo naona umebobea kwny mambo haya
Jolie Jolie said: Anakuaje sawa wakati amejibadilisha,alikua mwanaume by nature,aje ajbadilishe akue mwanamke(artificial) hawezi kua sawa bana Click to expand... Leo naona umebobea kwny mambo haya
Jolie Jolie JF-Expert Member Joined Dec 28, 2017 Posts 7,406 Reaction score 13,823 Mar 10, 2018 #39 Nokia83 said: Leo naona umebobea kwny mambo haya Click to expand... Yanajileta yenyewe
Nokia83 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 24,643 Reaction score 44,371 Mar 10, 2018 #40 Jolie Jolie said: Yanajileta yenyewe Click to expand... Umebobea