Companero Platinum Member Joined Jul 12, 2008 Posts 5,609 Reaction score 1,731 Mar 10, 2018 #1 Ndugu Nyani Ngabu na Wabeba Maboksi wenzangu, Salaam! Transgender huku sasa wako kila kona. Hata kuwatambua sasa ni vigumu. Ukimdeti Transgender bila kujua, je, siku ukijua utaachana naye au la? Kwa nini? Mf. Transgender 'Janet Mock' joins the Latest List of Times '12 New Faces of Black Leadership' - Golden Icons Shukrani, Companero Last edited: Mar 10, 2018
Ndugu Nyani Ngabu na Wabeba Maboksi wenzangu, Salaam! Transgender huku sasa wako kila kona. Hata kuwatambua sasa ni vigumu. Ukimdeti Transgender bila kujua, je, siku ukijua utaachana naye au la? Kwa nini? Mf. Transgender 'Janet Mock' joins the Latest List of Times '12 New Faces of Black Leadership' - Golden Icons Shukrani, Companero
S St Lunatics JF-Expert Member Joined Aug 29, 2015 Posts 6,644 Reaction score 11,195 Mar 10, 2018 #2 Transgender (gay) utalijua tu hata lijibadilishe vipi ukienda Philippines pale kuna hio misukule. Ukifumba macho unaweza kuwa gegeda na kudhani umemgegeda Nick Minaj dadeki.
Transgender (gay) utalijua tu hata lijibadilishe vipi ukienda Philippines pale kuna hio misukule. Ukifumba macho unaweza kuwa gegeda na kudhani umemgegeda Nick Minaj dadeki.
HARUFU Platinum Member Joined Jan 21, 2014 Posts 31,704 Reaction score 48,140 Mar 10, 2018 #3 Mara nyingi ukiwachunguza Usoni ni rahisi kuwastukia. Pamoja ya kuwa walishaenda vyumba vya Upasuaji kwa ajili kuchonga Sura na kuondolewa NYETI zao, lakini tofauti bado inaonekana. Hapo ndio ujue Asili katu huwezi kuibadilisha. BRAZIL wamejaa tele
Mara nyingi ukiwachunguza Usoni ni rahisi kuwastukia. Pamoja ya kuwa walishaenda vyumba vya Upasuaji kwa ajili kuchonga Sura na kuondolewa NYETI zao, lakini tofauti bado inaonekana. Hapo ndio ujue Asili katu huwezi kuibadilisha. BRAZIL wamejaa tele
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 45,751 Reaction score 55,789 Mar 10, 2018 #4 HARUFU said: Mara nyingi ukiwachunguza Usoni ni rahisi kuwastukia. Pamoja ya kuwa walishaenda vyumba vya Upasuaji kwa ajili kuchonga Sura na kuondolewa NYETI zao, lakini tofauti bado inaonekana. Hapo ndio ujue Asili katu huwezi kuibadilisha. BRAZIL wamejaa tele Click to expand... wanajiuza au bure?
HARUFU said: Mara nyingi ukiwachunguza Usoni ni rahisi kuwastukia. Pamoja ya kuwa walishaenda vyumba vya Upasuaji kwa ajili kuchonga Sura na kuondolewa NYETI zao, lakini tofauti bado inaonekana. Hapo ndio ujue Asili katu huwezi kuibadilisha. BRAZIL wamejaa tele Click to expand... wanajiuza au bure?
Amalinze JF-Expert Member Joined May 6, 2012 Posts 6,780 Reaction score 5,318 Mar 10, 2018 #5 Kuna yule baba yake Kim Kardashian
monde arabe JF-Expert Member Joined Oct 22, 2017 Posts 8,883 Reaction score 13,621 Mar 10, 2018 #6 Hatar sana!
Jolie Jolie JF-Expert Member Joined Dec 28, 2017 Posts 7,406 Reaction score 13,823 Mar 10, 2018 #8 HARUFU said: Mara nyingi ukiwachunguza Usoni ni rahisi kuwastukia. Pamoja ya kuwa walishaenda vyumba vya Upasuaji kwa ajili kuchonga Sura na kuondolewa NYETI zao, lakini tofauti bado inaonekana. Hapo ndio ujue Asili katu huwezi kuibadilisha. BRAZIL wamejaa tele Click to expand... Sas kweny mgegedo na wenyew wananyevuka km wanawake au?
HARUFU said: Mara nyingi ukiwachunguza Usoni ni rahisi kuwastukia. Pamoja ya kuwa walishaenda vyumba vya Upasuaji kwa ajili kuchonga Sura na kuondolewa NYETI zao, lakini tofauti bado inaonekana. Hapo ndio ujue Asili katu huwezi kuibadilisha. BRAZIL wamejaa tele Click to expand... Sas kweny mgegedo na wenyew wananyevuka km wanawake au?
digalangosha JF-Expert Member Joined Aug 30, 2013 Posts 1,574 Reaction score 2,292 Mar 10, 2018 #9 Hivi bongo hawapo kweli...? Wazee wa experience tukaongeze nyama kwenye cv
Kasiano Muyenzi JF-Expert Member Joined Feb 3, 2018 Posts 13,972 Reaction score 22,922 Mar 10, 2018 #10 digalangosha said: Hivi bongo hawapo kweli...? Wazee wa experience tukaongeze nyama kwenye cv Click to expand... Watakuja bongo baada ya mzee wa chato kustaafu, ila kwa sasa hawapo
digalangosha said: Hivi bongo hawapo kweli...? Wazee wa experience tukaongeze nyama kwenye cv Click to expand... Watakuja bongo baada ya mzee wa chato kustaafu, ila kwa sasa hawapo
Titans JF-Expert Member Joined Dec 31, 2010 Posts 1,459 Reaction score 3,373 Mar 10, 2018 #11 Yani usimgundue wakati unaona kabisa mguu una vigimbi kama viazi mbatata? Thailand wapo sana tu.
Koba145 Senior Member Joined Jan 21, 2017 Posts 118 Reaction score 89 Mar 10, 2018 #12 Lazm ugundue labda uwe na genye sana ushindwe hata kumchunguza
Mgeni wa Jiji JF-Expert Member Joined Jul 27, 2017 Posts 10,484 Reaction score 19,989 Mar 10, 2018 #13 Mambo mazito haya
Robot la Matope JF-Expert Member Joined Apr 10, 2015 Posts 8,587 Reaction score 17,530 Mar 10, 2018 #14 Sijaelewa chochote. Oughey. Genda niyo bhona
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,190 Reaction score 128,243 Mar 10, 2018 #15 Kwani huyo Nyani ni transgender??
T Tz the Next Congo Senior Member Joined Feb 27, 2017 Posts 172 Reaction score 121 Mar 10, 2018 #16 Nini tofauti ya transgender,gay,shemale,bisexual....? Mi nnavojua hawa wote jina lao ni moja tu nalo ni mashoga yan wanaingiliwa kunyume na maumbile.... Naomba tafasir kama kuna utofaut.
Nini tofauti ya transgender,gay,shemale,bisexual....? Mi nnavojua hawa wote jina lao ni moja tu nalo ni mashoga yan wanaingiliwa kunyume na maumbile.... Naomba tafasir kama kuna utofaut.
Carlos The Jackal JF-Expert Member Joined Feb 6, 2017 Posts 28,749 Reaction score 91,827 Mar 10, 2018 #17 Ngoja nipite tuu
Jolie Jolie JF-Expert Member Joined Dec 28, 2017 Posts 7,406 Reaction score 13,823 Mar 10, 2018 #18 Amalinze said: Kuna yule baba yake Kim Kardashian Click to expand... Kim kardashian sijui hua anajisikiaje kumuona babake kawa mwanamke,sijui atamwita mama
Amalinze said: Kuna yule baba yake Kim Kardashian Click to expand... Kim kardashian sijui hua anajisikiaje kumuona babake kawa mwanamke,sijui atamwita mama
yna12 JF-Expert Member Joined Jan 2, 2018 Posts 1,936 Reaction score 2,318 Mar 10, 2018 #19 Jolie Jolie said: Kim kardashian sijui hua anajisikiaje kumuona babake kawa mwanamke,sijui atamwita mama Click to expand... Bama
Jolie Jolie said: Kim kardashian sijui hua anajisikiaje kumuona babake kawa mwanamke,sijui atamwita mama Click to expand... Bama
yna12 JF-Expert Member Joined Jan 2, 2018 Posts 1,936 Reaction score 2,318 Mar 10, 2018 #20 Ila duniani bana..nlionaga kipindi mdada kawa mkaka na mkaka kawa mdada..wameoana na wanajijua kama ni matransfer gender..shubaaat!!
Ila duniani bana..nlionaga kipindi mdada kawa mkaka na mkaka kawa mdada..wameoana na wanajijua kama ni matransfer gender..shubaaat!!