painscott
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 306
- 194
Kwenye kiluga chetu kule morogoro. Kudanga maanake ni KUHANGAIKA! sasa kuhangaika inategemea unahangaikia nn.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeeleweka kabisa utakua unaenda kushusha mzigoHebu Ona sentensi hizi
Moja, naenda kunya
Pili, naenda kukata gogo
Tatu, naenda kujisaidia
Asante, Mwenyekiti Naomba kutoa hoja
Elli
Sent using Jamii Forums mobile app
Malizia naenda ku-download.Hebu Ona sentensi hizi
Moja, naenda kunya
Pili, naenda kukata gogo
Tatu, naenda kujisaidia
Asante, Mwenyekiti Naomba kutoa hoja
Elli
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani mkuuWanachokifanya hawa wadada wadangaji ni sawa na kukwepa ngumi kwa kufumba macho.. mdangaji ndie kahaba no.1 maana bila pesa haumpati...
Sent using Jamii Forums mobile app

According to wanaodanga maana yao ni kwamba wao wanaona ipo tofaut kati ya kudanga na uchangudoa as in anaedanga huwa anatafuta mtu mwenye hela ya kutosha ili aweze pia kumfanyia mambo makubwaa kama kununuliwa nyumba na gari na mengino ili hali changudoa yeye anatafuta pesa kidogo tu ya kujikimu na kutatua matatizo yake madogo madogo
Tofauti ipo kwasababu mmoja anauza changudoa anauza Papuchi directly halafu mdangaji anauza indirectlyWasalaam wakubwa na wadogo ,
Siku hizi msemo wa kudanga umeshika sana momentum yaani tena waziwazi kina dada wanakwambia sina kazi yeoyote nina danga tu, hivi kuna tofauti kati ya kudanga na uchangudoa hadi watu wajitoe ufahamu na kuona udangaji kama moja ya kitu halali kabisa ?
Nawasilisha...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini hatulii na anazururia nini....Kudanga = Mapepe kiguu na njia,, hatuliii kwake mzururaji kishenzi,,,
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kazi ndogo kutofautisha hizo taaluma mbili.Wasalaam wakubwa na wadogo ,
Siku hizi msemo wa kudanga umeshika sana momentum yaani tena waziwazi kina dada wanakwambia sina kazi yeoyote nina danga tu, hivi kuna tofauti kati ya kudanga na uchangudoa hadi watu wajitoe ufahamu na kuona udangaji kama moja ya kitu halali kabisa ?
Nawasilisha...
Sent using Jamii Forums mobile app
Anatafuta kimfaacho tu kwa siku hiyo,, kesho tena,, chochote kile
Hahaha umeeleweka kwakua hana post maalumu inayojulikana kwa kazi maalumu!Anatafuta kimfaacho tu kwa siku hiyo,, kesho tena,, chochote kile
Sent using Jamii Forums mobile app
YapHahaha umeeleweka kwakua hana post maalumu inayojulikana kwa kazi maalumu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ndioNakupata vizuri sana...kwahiyo kuna watu wanajua wanawachumba kumbe wanawadangaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha la jumla nilipi hapo ?Duka la jumla na duka la reja reja ndio tofauti iliyopo