Neno hili nadhani linatokana na neno afanaleikh. Kwa kweli sifahamu maana ya neno afanaleikh.
Kudadeki leo limekuwa neno la kuonyesha mshangao au hamaki.
Zaidi hutumiwa na vijana
Kwa kesi ya hili nadhani linaendelea kuwa tusi, sababu hapa linatumika tu pale ambapo mzungumzaji yupo kwenye mazingira ambayo anahisi hataweza kutumia neno lile la mwanzo
Wachagga (wa Marangu) wakishangaa wanaweza kutumia neno 'mbula' ambayo ni tusi ila kutokana na mazingira wanaweza kutumia 'mbura' ambayo haina hata maana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.