Mapinduzi hakuna benki itakayokupa mkopo bila kuwa na dhamana isiyohamishika yenye thamani sawa au zaidi ya mkopo unaoutaka. Umesema huna nyumba wewe una nini cha kuweka dhamana?
Pia nikuulize je unafanyakazi (mwajiriwa)? Maana siku hizi kuna mabenki yanayotoa mikopo kwa wafanyakazi maadam tu mwajiri wako akubali risk ya kukudhamini na mshahara wako lazima upitie kwao ili wawe wanakukata kila mwezi. Mikopo ya aina hii inalipwa kwa hadi miaka 5 sasa inategemea na mshahara wako maana ndo utakao-determine ukopeshwe kiasi gani kwa kipindi utakachopenda mwenyewe (The longer the period the higher the rate). Pia wanataka angalau ubaki na 30 % kwa ajili ya kujikimu wewe na familia yako kama unayo.
Baada ya kusoma mawazo yenu, nimeamua kuitumia hii pesa kumalizia kibanda changu, walau nifanye biashara ya nyumba kwa maana niipangishe. Nahitaji kama 15 m hivi ili kumailizia, je kuna bank yeyote itakayoweza kunidhamini katika hili?
sasa ndugu yangu inabidi ubadilikie kidogo, kwa dunia ya sasa usifanye biashara za kienyeji wewe nenda kafungue kampuni, iwe registered kabisa, andaa mchanganuo wa biashara unayotaka kufanya, nenda bank na full doc, watakusikiliza,
hakuna bank itakayokupi 10+, kwa biashara ya kujasilia mali ambayo haina mchakato unaoeleweka, labda kwenye haya masaccos unaweza kupanda na kisha ukavuna i think 3m max
sasa ndugu yangu inabidi ubadilikie kidogo, kwa dunia ya sasa usifanye biashara za kienyeji wewe nenda kafungue kampuni, iwe registered kabisa, andaa mchanganuo wa biashara unayotaka kufanya, nenda bank na full doc, watakusikiliza,
hakuna bank itakayokupi 10+, kwa biashara ya kujasilia mali ambayo haina mchakato unaoeleweka, labda kwenye haya masaccos unaweza kupanda na kisha ukavuna i think 3m max