Hebu nijibu swali langu hapo juu, unapinga mwanamke kuchepuka ila una mchepuko mwanamke, au huyo mwanachuo ni James delicious?
Hongera ya kusema mnapofanya yanayo kubalika ktk jamii eti mnaonekana wa ajabu kwa sababu si kawaida yenu?!!...Tehe!, Asante!
Ila na nyie mjifunze midundo mipyamuwe na manyonyo na masarakasi kama hawa wa huko nje. Sio daile kifo cha mende
Yani kujisifu anatembea na mwanachuo ni sawa na kusema ana mchepuko wake corner bar.....Tehe!, Tehe!, yaani mtu anapigana kutulaani wakati ana mtoto wa chuo. Halafu watoto wa chuo walivyo, pengine nae ana mchepuko wake mwingine na huyu kaka yetu hapa na kelele zake usikute na yeye kapangwa foleni.
Na kama sio hivyo basi James D. ndo wifi yetu nyumba ndogo, au tumwite shemeji sijui...😀
Hongera ya kusema mnapofanya yanayo kubalika ktk jamii eti mnaonekana wa ajabu kwa sababu si kawaida yenu?!!...Tehe!, Asante!
Out of topic hii ni dalili umedata, huenda na glucose imepungua mwilini.usishindane na mwanaume mama irene wewe kazi yako nikuzaa tuu. kufanya kazi ni kihere here chako na ndo wanawake wengi mko hivyoo.
mke wangu nilimwambia ntamuingizia kila mwezi 700,000 kwenye account mbali na matumizi ili mradi anasimamia kazi. bado anakomaa na mshahara wa 650,000 ambao ata sijawai uona. sijui account yake imetoboka hela zinavuja.
wanawake badilikeni muwe mnatumia akili sio makalio.
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
umeandika nini hapa???? hii mada ni wanandoa sio ya single mama
Out of topic hii ni dalili umedata, huenda na glucose imepungua mwilini
We bana nawe hebu acha hizo ujinga mkeo asitmbwe kwani we nani???????!!!!!! Eti asikuchepukie una kadudu ka dhahabu????kumbe na wewe fyatuu. nitembee na shoga wakati watoto wabichi wapo.
ukitaka nirudishe penzi kaa utulie usinipekue/usinichunguze na wivu wakitoto uache.
ukifanya hivyoo ata michepuko naacha.
Yani kujisifu anatembea na mwanachuo ni sawa na kusema ana mchepuko wake corner bar.....
Wanachuo anawajua anawasikia
wanaume hapa wanakupinga sana,kisa umefanya wewe mwanamke ila angekua mwanaume mwenzao ndo kafanya hivi wangempongeza na kumwona mjanja.....
mama just do what makes you happy katika maisha yako ila tu uwe makini na magonjwa,yani kabinadam kamoja ndo kakukoseshe amani mtoto wa watu loh...u deserve better mama...
Wametuweka mtu kati hapa na Mabeijing wenzie. Aaah wamepeana mbinu nyingi sana za kuchepuka wakirudi home wanakuwa wepesi eti zaidi ya karatasi.Nimeona aseeh.
Wanamtetea mtoa uzi au wanamponda. Kwa navyomjua espy atamtetea.
Mama hebu leo usiku anza kusali tena mpe Mungu jukumu awarekebishe. Ukisali kumrudisha mume ama mpenzi aliyekengeuka ama kudangangika yataka uvumilivu yaweza chukua miezi hata 6. Rafiki yangu aliachana na mpenzi wake kisa kapa mchepukk/mpenzi mwingine alianza kusali neno lake kuu 'MUNGU WANGU NAJUA NILIMPENDA NA KUMUHESHIMU, NILIJITOA KWA DHATI ILA IKIWA NI MAPENZI YAKO BASI ARUDI ENDAPO HUKO ALIKO SIO MIKONO SALAMA' niliona huyu best ni chizi mwanaume kamsusia kampa kibuti akituma sms hajibu 6 months bado anaimani?? Kilichotokea yule kaka alikuja kumtafuta akaomba msamaha kabadilika dharau kaacha wameoana juzi
Wanawake kwenye kuchepuka wajanja saana. Hadi ukagundue sio kesho.Wametuweka mtu kati hapa na Mabeijing wenzie. Aaah wamepeana mbinu nyingi sana za kuchepuka wakirudi home wanakuwa wepesi eti zaidi ya karatasi.
Tehe!, Tehe!, yaani mtu anapigana kutulaani wakati ana mtoto wa chuo. Halafu watoto wa chuo walivyo, pengine nae ana mchepuko wake mwingine na huyu kaka yetu hapa na kelele zake usikute na yeye kapangwa foleni.
Na kama sio hivyo basi James D. ndo wifi yetu nyumba ndogo, au tumwite shemeji sijui...😀
Afadhali afe kwa kutafuta mwenyewe kuliko kutulia halafu unaletewa huo wa kuletewa inaumiza bora MTU uutafute mwenyewe kwa raha zako siku ukiupata utajijutia mwenyewe
Hahahah!, kwa kweli. Naona mchepuko wake anaousifia mchana uko chuo, usiku unahamisha makazi kona bar.