Kuchepuka raha

Kwasababu Mungu aliwaumba kina hawa 8 na Adam 1 ndiyo maana aliwaacha mchepuke tu, mwenzenu kaacha mke huko yupo na mchepuko sasa mchepuko ndiyo unamichepuko zaidi mpaka ana binjuka mbele ya watoto aliozaa naye halafu eti analia wakati mke halàli yupo nyumbani unafikiri naye akipata taarifa moyo huuma sana bado maradhi wanaume nyie Mungu anawaona
 
Sasa mbona anatuambia mumewe anagonga sana nje. Huko nje anawezaje kuwahudumia? Na wewe ndio wale wale!!!
Huko ni pesa tu unazani malaya wanataka nini zaidi ya pesa hakuna chochote wala hawana shida na starehe tena huwasifia balaa kama wanaweza kumbe anamng'ong'a
 
Hongera Dada kaza Mwendo kama umepata raha huko, ila nakushauri hamia uko.

Kuna shida kubwa kuchepuka wengine tumechepuka tukakutana na hayo tumeona ni ujinga tumeamua kuvumilia kama wewe unashangilia kaza mwendo
Itakuwa ulichepukia njia yenye miba ya michongoma wenzio wanachepukia kwenye lami
 
Kuna mama mchungaji flani hivi wa kanisa kubwa tu hapa mjini, asee mama mchungaji anapigwa miti si kitoto ha ha ha afu mida yake ni mida ya kazi saa nane tayari yupo home kuandaa msosi wa baba mchungaji
Ni kweli wala sio uongo baba ana funga kwa ajili kuombea kanisa mama anaenda kukata kiu ndoa hizi wengi wanaishi kwa mazoea ndiyo matatizo yake hayo
 
Ahaa kumbe unachepuka ntamwambia bro na alisema anataka aifanyie ile nyumba ya mamako renovation xaxa utachora ubandue
 
Nayapitia tu mabandiko yako
 
Huyo suleimani aliishia wapi si kupelekwa kwenye ibada za kishetani lakini angekuwa kama mtumishi wa Mungu Ayubu au Isaka safi halafu wao huwa hamuwatolei mifano ila wenye mitala kama siafu ndiyo mifano yao mwatoa
 
DUH
 
FULL MAPOINTI YA UKWELI
 
YANI WEWE NDIO MASTER POINTS....UKWELI MTUPU ..AGIZA KINYWAJI
 
Hivi kumbe haujajua tuna akili kuwazidi?
Basi tulia hivyo hivyooooo. Na huyo role model wenu mumsome vizuri mumuelewe sio kumtaja taja tu kwenye maujinga wenu.
 
ikiwa yeye kavuna alichopanda nawewe utavuna ulicho panda kilambegu humea mmea ulio pandwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…