Kwasababu Mungu aliwaumba kina hawa 8 na Adam 1 ndiyo maana aliwaacha mchepuke tu, mwenzenu kaacha mke huko yupo na mchepuko sasa mchepuko ndiyo unamichepuko zaidi mpaka ana binjuka mbele ya watoto aliozaa naye halafu eti analia wakati mke halàli yupo nyumbani unafikiri naye akipata taarifa moyo huuma sana bado maradhi wanaume nyie Mungu anawaonaMleta mada unaonekana una asili ya umalaya tu. Mwanamke asiye malaya hawezi kujiingiza kwenye umalaya au uzinzi eti kwa sababu mume wake kafanya. Kinachonekana ni kwamba baada ya kuolewa ulitulia tu pengine kwa hofu kwamba jamii itakuonaje au kwa vile uliogopa kuachika. Lakini waswahili wanasema jasiri haachi asili na ndio maana uliamua kutafuta kila sababu ya kukurudisha kwenye asili yako. Kama mumeo ni malaya hata wewe alikupata kwenye anga za umalaya. Kwa hiyo usitumie umalaya wa mumeo kama kisingizio cha wewe kuwa malaya. Kwanza hata siku moja hujamfumania mumeo wala kuwa na ushahidi kuwa amechepuka. Ila endelea kugongwa tu nje. Ongeza hata wafike ishirini matokeo utayaona baadae. Kamwe mwanamke usishindane umalaya na mwanamume kwa kuwa yeye ameumbwa kutoa huduma hiyo masaa 24. Hana siku za hedhi wala kubeba mimba. Mungu hakuwa mjinga aliyeweka maumbile ya wanawake kuwa tofauti na wanaume. Shame on you.
Huko ni pesa tu unazani malaya wanataka nini zaidi ya pesa hakuna chochote wala hawana shida na starehe tena huwasifia balaa kama wanaweza kumbe anamng'ong'aSasa mbona anatuambia mumewe anagonga sana nje. Huko nje anawezaje kuwahudumia? Na wewe ndio wale wale!!!
Kwa wanaume na wanawake ukimwi upo tuUKIMWI JAMANI BADO UPO
Itakuwa ulichepukia njia yenye miba ya michongoma wenzio wanachepukia kwenye lami[emoji28] [emoji28]Hongera Dada kaza Mwendo kama umepata raha huko, ila nakushauri hamia uko.
Kuna shida kubwa kuchepuka wengine tumechepuka tukakutana na hayo tumeona ni ujinga tumeamua kuvumilia kama wewe unashangilia kaza mwendo
Ni kweli wala sio uongo baba ana funga kwa ajili kuombea kanisa mama anaenda kukata kiu ndoa hizi wengi wanaishi kwa mazoea ndiyo matatizo yake hayoKuna mama mchungaji flani hivi wa kanisa kubwa tu hapa mjini, asee mama mchungaji anapigwa miti si kitoto ha ha ha afu mida yake ni mida ya kazi saa nane tayari yupo home kuandaa msosi wa baba mchungaji
Nayapitia tu mabandiko yakoSi ndiyo hapo yeye akasuuze huko halafu mke akae na stress zake sasa nani amsaidiye hivi mme anaye timiza mjukumu yake sizani mke mwenye busara na maadili anaweza chepuka hamu itoke wapi? Kwanza ni dhambi kumbuka yule amsababishae mwenziye makwazo ndiye wakwanza kupata kisago mbele za Mung.
Huyo suleimani aliishia wapi si kupelekwa kwenye ibada za kishetani lakini angekuwa kama mtumishi wa Mungu Ayubu au Isaka safi halafu wao huwa hamuwatolei mifano ila wenye mitala kama siafu ndiyo mifano yao mwatoanabishana watu sita lakini akili zenu ukizijumlisha ni za mwanaune mmoja tena mwenye miaka 22.
ndo maana sulemani alioa wana wanawake zaidi ya 1000 na walikuwa hawamsumbui akili ni kwasababu akili ya mwanaume ni PANA.
na hakuna mwanamke alikuwa anachepuka yani niwe na mke mmoja alafu achepuke nisijue sintakuwa bogasi kama wanaume wenu.
DUHToka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
FULL MAPOINTI YA UKWELIMama hebu leo usiku anza kusali tena mpe Mungu jukumu awarekebishe. Ukisali kumrudisha mume ama mpenzi aliyekengeuka ama kudangangika yataka uvumilivu yaweza chukua miezi hata 6. Rafiki yangu aliachana na mpenzi wake kisa kapa mchepukk/mpenzi mwingine alianza kusali neno lake kuu 'MUNGU WANGU NAJUA NILIMPENDA NA KUMUHESHIMU, NILIJITOA KWA DHATI ILA IKIWA NI MAPENZI YAKO BASI ARUDI ENDAPO HUKO ALIKO SIO MIKONO SALAMA' niliona huyu best ni chizi mwanaume kamsusia kampa kibuti akituma sms hajibu 6 months bado anaimani?? Kilichotokea yule kaka alikuja kumtafuta akaomba msamaha kabadilika dharau kaacha wameoana juzi
YANI WEWE NDIO MASTER POINTS....UKWELI MTUPU ..AGIZA KINYWAJIKupitia Mada hii nimejifunza Vitu vingi sana,..
- Wanawake hawapendani kabisa, Badala ya Kumshauri na kumwambia huo haukuwa uamzi sahihi lakini matokeo yake wanamsifia na kusema kuwa Bora awamkomeshe
- Wanawake wamekuwa wepesi wakumsifia wakiwalaumu wanaume kuwa kumbe wanaumia wakilipiziwa lakini wameshindwa kuelewa kuwa Mtoa Mada ana msongo wa Mawazo Makubwa ana Pashwa kushauriwa sana. Mojawapo ya Dalili wa Msongo alionao Mtoa Mada ni Pale alipoanza kukashifu Maumbile ya huyo Mume wake na kuanza kumsifia huo Mwizi.
- Katika Mada zote ambazo Nimewahi kuzisoma na ukweli ni Kwamba siku hizi 50% wote wanachepuka lakini Ukichepuka kwa Kumkashifu uliyemtendea basi hata huyo uliyenaye Umeshamkosa.
- Kingine ni Kweli Walio wengi wanamsikitikia huyo Mchepukaji kwa Kuwa badala ya kutafuta nini kimepelekea Mumewe kubadilika yeye ameamua kutibu Kidonda kwa Kujichoma na kuwa na Vidionda Viwili sasa hajui anatibu kipi na anacha kipi.
Naendelea kujifunza
Maisha mafupi sana,enjoy yourself.
Hivi kumbe haujajua tuna akili kuwazidi?nabishana watu sita lakini akili zenu ukizijumlisha ni za mwanaune mmoja tena mwenye miaka 22.
ndo maana sulemani alioa wana wanawake zaidi ya 1000 na walikuwa hawamsumbui akili ni kwasababu akili ya mwanaume ni PANA.
na hakuna mwanamke alikuwa anachepuka yani niwe na mke mmoja alafu achepuke nisijue sintakuwa bogasi kama wanaume wenu.
Kwakweli sio bure!Atakuwa alikutana na jini
Kichwa cha juu kina kuwa cha mwisho kufikiri wakati mambo yameshaharibika [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] wanaume wengi ni pasua kichwaWanatumia vichwa vya chini kufikiri