Kuchepuka raha

Wewe na mumeo wote hamjui maana ya ndoa. Rudin kwa wazee wenu wawafundishe ndoa ni nn.
 
Sijakariri that is a practice na ni nature... do whatever you can lakini nature itabaki, mwisho wa siku wanaume watakutumia, kukutemea kisha wanaku-damp.

Lets go, provided you dont buy that shit .....Tehe teheee

Nature ime prove wrong ndugu. Hata wanawake wana dump wanaume na maisha yanasonga.
 
Kuna watu wanajidai Saints sana humu JF na wakati ukisimuliwa visa vyao huwezi kuamini, lakini wakifika hapa wanajidai watakatifu.


Shame!
 
Sio vya kutunyanyasa hivyo::: kisa mahari nisubiri kuletewa ukimwi???? Haipo hata SKU moja!!!! Mahari yenyewe umechangiwa mpaka na babu mzaa babu!!! Uje kuninyanyasa nayo loooh!
Mbona huwa hakuna discount!!!! tehe tehe teheee
 
Sijafurahia huyu Dada kuchepuka ila nachohoji wanaume mmeumizwa sana na kutoa povu sababu mwanamke kachepuka mbona mada za nyie kuchepuka mnapongezana au mungu alihalalisha uzinifu wenu,na mmesikia huyo Dada kasema mmewe kazidi umalaya na hata nyumban asieeze kurudi ila mnachoshutumu yeye kutoka nje kumbe mkuki mtam kwa nguruwe kwenu mchungu afu unasema mada itolewe Mara ngapi mnaweka mada za KUDHALILISHA WANAWAKE MNAJISAHAU HAO WANAWAKE KUNA MAMA,DADA NA WATOTO WENU UNATUTUKANA KANA KWAMBA HATUNA THAMAN LEO HUYU DADA YAMEMFIKA UNASEMA MADA ITOLEWE ,HII BUSARA UNGEKUWA UNAOMBA MADA CHAFU ZITOLEWE CYO UNAANGALIA KWQ UPENDELEO
 
Haitokaa iprove wrong ndugu.

Imeprove wrong kuna wanawake wanafanya maajabu kuliko hata wanaume nadhani hujakutana nao. Hao ndio wamenifanya niamini kuwa kitu kikisemwa muda mrefu kinaonekana kweli. Ni sawa na wazungu walivyotuaminisha Africans are stupid and inferior wakt si kweli ila bado baadhi ya waafrika tunaamini ni kweli Mungu alituumba tuko weak than mzungu
 
Sijakariri that is a practice na ni nature... do whatever you can lakini nature itabaki, mwisho wa siku wanaume watakutumia, kukutemea kisha wanaku-damp.

Lets go, provided you dont buy that shit .....Tehe teheee
Kuna wanawake wanatembea na wanaume hawataki commitment so ukimdump yeye hajali. Kwa hiyo misemo yenu kuwa tunagonga tunasepa haipo applicable to some women. Na wao wanasema nagongwa nasepa zangu..au namchuna namdump!
.
.
Mind you ... kuna wanawake wapo ready kuwatumia wanaume. Ukisema unamtumia na yeye anawaza hivyo hivyo!
.
.
Dunia imebadilika na maisha pia yamebadilika. hizo unazosema ni nature zinapungua taratibu.
 
Yeye anazungumzia wanawake wa karne ya 28 sasa hivi mwanamke anamtumia mwanaume na anasepa tena wanawake wanatumia wanaume vibaya sana na hawana huruma siku ukipata shida though sio wote kuna wengine anakutumia akimalizana na wewe anakuua kabisa
 
wanaume tatizo ubabe kwani neno samahani linakugarimu nn mtu umekosa alafu ww unakua mkali fyuuu!!
 
Angalia msije mkauana sasa ivi maradhi ni mengi mno.... Ila mwanaume hata kama ni mchepukaji huwa hataki Mali yake iliwe na wengine kuwa makini


wacha na yeye apewe raha khaaaaa,,,,,,kuna vikojoleo vitram mama,,,mtu anakukuna mpaka unajuta ulichelewa wapi
 
Mhhh,
Hv kuchepuka ndio jawabu?anyway hongera zako but hayo mambo ya kibamia sijui hajui kitu unayoyasema ni udhalilishaji kwa mumeo ila kila la kheri.
Nilikua sijawahi kuonja njee ndio maana nilikua namuonabonge la bwana cc hiv namcheka kizungu tu kama yy alivyokua ananichekaga na mauno yangu ya ki..
 


nilimtongoza mama mmoja akanipa penzi bila hiyana,,baada ya bao la pili mama kanilalia eti analia eti kaolewa na ana watot wanne hajawahi kukojoleshwa ,,teeeeh,,kidume nikavuta pumzi na jinsi alivyo na wowo tena nikapiga round nne,,,,,,,hadi leo namkuna na anapenda sana,,tukienda hotel naogeshwa napetiwa kama mmewe,,napewa raha kama nan sijui
 
Angalia msije mkauana sasa ivi maradhi ni mengi mno.... Ila mwanaume hata kama ni mchepukaji huwa hataki Mali yake iliwe na wengine kuwa makini
Sasa hivi amani mnoo mapenzi motomoto hata asiporudi akirudi asubuhi nampokea na pole nyingi
 
Hao pia wapo. Wanawake wanaowatesa wanaume hawakosekani..na mke akiwa haeleweki mume atachepuka tu. So kumponda huyo dada mnakosea sana. Mnataka avumilie tuuu kwasababu yeye ni mwanamke au?
Mtu anayemuogopa mungu awezi kukubali kumuasi mungu kwaajili ya kufurahisha nafsi yake awe mwanaume au mwanamke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…