Uliza Nkujibu
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 806
- 641
ndo mana wanawake wa siku hizi kuolewa inakua ngumu.. acha 2endelee kuwagegeda 2 mana hamna namna.watajisemesha hapaaaa ILA WANAJUA DEEP DOWN NA WAKE ZAO NDO WANAFANYA HIVI HIVI!AHAHAHAHAHHAHAHHAA HAISRA NI PALE WANAPOIMAGINE KUWA WAT IF ANAYEANDIKA HII SREDI NI MKE WANGU?
BASI POVU LINAWATOKAJEEEEEEEEEEEEE?
mwaya wanaume poleni!
TUNAELEWA MNAVOUMIA!
MSIJALI LAKINI HAYO MAUMIVU HUWA HAYAISHI WALA HAYAUI!
MBONA SIE HATUFI KLA SIKU!
NDOA NI UVUMILIVU JAMANI!
ndoa ni KATIKA SHIDA NA RAHA!
NDOA NI KUJISHUSHA
NDOA NI KUSUGUA GOTI
ahahahhahahahha
Mbavu zangukama ulikuwa unajua hupati kitu mbona kipindi cha uchumba ulitumia nguvu kubwa sana kusaka ndoa mpaka leo sugu za magoti hazijaisha. ulikuwa unasali mdogo wangu ata Musa wa biblia ulimpita kwa kusugua goti.
kama hupati kitu dai talaka uone nywele zitakavyo nyonyoka.
UTAKUTA KAKUANDALIA KANDE KABISA!ILI UJUE MAHARAGE PIA NI CHAKULA!SIBISHANI TENA NIMEONA MWANDIKO WA MKE WANGU HAPA NGOJA USIKU NIRUDI NYUMBANI ATAJUA MBIVU na MBICHI MARAGE NI MBOGA KITAFUNWA.
NANI ANATAKA KUOLEWA ,WATU WANATAKA NDOA ILA HAKUNA ANAYETAKA KUOLEWA!ndo mana wanawake wa siku hizi kuolewa inakua ngumu.. acha 2endelee kuwagegeda 2 mana hamna namna.
PUMBAFU WEWE.....MALAYA MWENYE SUGU.Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
SIBISHANI TENA NIMEONA MWANDIKO WA MKE WANGU HAPA NGOJA USIKU NIRUDI NYUMBANI ATAJUA MBIVU na MBICHI MARAGE NI MBOGA KITAFUNWA.
Ukiona mwenzio ana kibamia, ujue wewe una ziwa victoria.Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
UTAKUTA KAKUANDALIA KANDE KABISA!ILI UJUE MAHARAGE PIA NI CHAKULA!
utakuaje na ndoa bila kuolewa? au kwasababu nyie mnaweza kuchamba hata kama hamjakunya basi unadhani kila kitu kinawezekana? ah ah ah ahNANI ANATAKA KUOLEWA ,WATU WANATAKA NDOA ILA HAKUNA ANAYETAKA KUOLEWA!
USIMIX VITU WEWE!
WAKATI ANAKULA WE UTAKUWA UNACHAT ENH?akilogwa akifanya hivyoo atakula sufuria nzima bila kupumzika.
atakuja kuanzisha thread kuomba ushauri.
Basi kumbe utakua huwajui vizuri wanawakenyie mnasiri sasa. mwanamke anakaa na siri masaa 12 mwisho.
ONA SASA!utakuaje na ndoa bila kuolewa? au kwasababu nyie mnaweza kuchamba hata kama hamjakunya basi unadhani kila kitu kinawezekana? ah ah ah ah
Huo msemo wa ndoa kuwa ngumu si za kweli. haya maharusi yanayoendele huyaoni mkuu? Na hizi kadi za michango ni kuku ndio wanaoana? Ndoa zipo na watu wanazidi kujiunga na chama. Asikwambie mtu ndoa tamu bwana...ni hivi vikero vidogodogo ndio tunawekana sawa hapa!ndo mana wanawake wa siku hizi kuolewa inakua ngumu.. acha 2endelee kuwagegeda 2 mana hamna namna.
ahhahahahhahhha WANAUME WANASEMA HATA KAMA NACHEPUKA LAKINI WEWE NDO MKE WANGU !NINGEKUWA SIKUPENDI NINGEKUOA!Kwani mwanaume akiwa anachepuka hua anakusudi la kuvunja ndoa yake?kwanza nachepuka kwa siri sio achepukavyo mme.
eeenh mama!Huo msemo wa ndoa kuwa ngumu si za kweli. haya maharusi yanayoendele huyaoni mkuu? Na hizi kadi za michango ni kuku ndio wanaoana? Ndoa zipo na watu wanazidi kujiunga na chama. Asikwambie mtu ndoa tamu bwana...ni hivi vikero vidogodogo ndio tunawekana sawa hapa!
WAKATI ANAKULA WE UTAKUWA UNACHAT ENH?
ahahahahahahhahaha WANAUMEEEEEEEEEEEEEEEEE!
KWIIIIIISHA HABARI YENU!
BORA AWAHI TU ANGALAU AWE NA MTU WA KUMUULIZA NIFUNGE MLANGO AU UNALALA HUKO HUKO?Hata ukichelewa ni yale yale!
Basi kumbe utakua huwajui vizuri wanawake
HAHAHAHAHAHAHHA KUMBE UNAJUA UTAENDA KUFANYA NINI!ntakuwa na chat?????? kweli wewe ndoa yako changa.
nyama choma zimeisha uko mtaani? tena ndo napata chance nzuri ya kumpigia mchepuko wangu (mwanachuo) tukasage nyama.