BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
Kashangaa umerudi mwepesiiiiiiiiiiiiJamani achaa tu ni vile kile kitu kufanya atake mwanaume apatee erection, sijui walimroga chaa, almanusra tuzichape kisa kumvua boksa kinguvuu hehe jmn..nilikua nalia hatari, stress, mwili mzitooo
Kw bahati nkapata safari,Usiombe ktk hali km hii umpate mtu mnafungiana ndani siku 3 nzima anakupunguzia stress...I really needed it..mtu unarudi mwepesiii and happy again
Maisha hayaa...
Ninachojua bibi na mama zenu mlio wengi walikuwa full house wives. Hawakuijua saloon, vikuku, kuongeza urefu wa kucha, nadhani hata mayai hawakula wakati wa uja uzito! Hapo babu zenu walilelewa na hao bibi zenu kama wafalme, bread winners. Sasa hawa wa kileo, mshahara kamzidi mmewe, bado anataka saloon apelekwe, gari anunuliwe, atafutiwe binti wa kazi, na maamuzi ya nyumbani ayafanye yeye! Ndoa nadra siku hizi, watu wanaishi pamoja!
BT inabidi twende kwa paroko, unatunanga sana leo. Unavumilia tyyy, miezi tisa kwanza kidogo, kwani kujibana hamuwezi??Kashangaa umerudi mwepesiiiiiiiiiiii
Halafu walaaah huhangaiki kumvua bokda
Abane tu dushe yake hadi iliwe na nyenyere....
Mkuu flirting ilovyo tamu, daaah hako ni kaugonjwa tena kanaambukizaUkikua utaacha.
Kuna kitu kinaitwa mipaka, ukishoa/kuolewa lazima uitambue mipaka yako.
Sio ndio busyyyy flirting, safari moja huanzisha nyingine, mwisho utaanza kumsingizia shetani na kutaka uombewe.
Ukioa, punguza ama acha kabisaaaa hayo yanayokufanya uhofie simu yako kushikwa na mkeo. Be a MAN. Sio umeoa ila una_act like MBA.
Acha tu, nnavopenda kadudu nikinyimwa miezi tisa nitakonda, uuuh namuombea tu husband afya yani azeeke na nguvu za kunipa hata viwili.... Amina 😀Wewe tena na hobby yako
Jamaa aliekuwa nae hastahili kuombewa??? Why mwanamke peke ake???Wakati tunaendelea kupongezana kuhusu cheating, wale wanaoamini katika kuombea marehemu apunguziwe adhabu wasimsahau huyu mrembo, pretty lady daaah!!
Hehe kama nakuona. Ila inasikitisha
Usiombe yakukute,nilielewa watu wanaobaka for a short moment, ukame wa miez 9 jmn,almost lost my mind
Duh pole sana, hilo swala la kulogwa hapo Koh wanaume wanafanyiwa sana hukoItakua kuna mtu alimroga sio bure, mume unamtega hategekiiiii....unavaa ovyo ovyo tu aitamanii wapiiii,unamuomba anapiga chenga,mara anaumwa sijui kidudu kinawasha mara kinatoa nini sijui ktk kuchepuka mtu kampa STDs ss inabd usubiri tu apone,miezi 2 inakatika unavumilia,kosa dogo anakupa mgongo wiki nzima, simu hapokei,anachelewa kurudi,.. Aisee sijui nilitoa wapi zile nguvu za kuwait 9 months, ila ndo nilikua na hasira sanaa cz of stress na ye nilikua namsemaaa namjibu mbovuu hatari hata hio appetite inamuishia naona..
Itakua kuna mtu alimroga sio bure, mume unamtega hategekiiiii....unavaa ovyo ovyo tu aitamanii wapiiii,unamuomba anapiga chenga,mara anaumwa sijui kidudu kinawasha mara kinatoa nini sijui ktk kuchepuka mtu kampa STDs ss inabd usubiri tu apone,miezi 2 inakatika unavumilia,kosa dogo anakupa mgongo wiki nzima, simu hapokei,anachelewa kurudi,.. Aisee sijui nilitoa wapi zile nguvu za kuwait 9 months, ila ndo nilikua na hasira sanaa cz of stress na ye nilikua namsemaaa namjibu mbovuu hatari hata hio appetite inamuishia naona..
Aiseee, yani na STDs juu ila mtu hakomi khaa
Nini kurogwa....Duh pole sana, hilo swala la kulogwa hapo Koh wanaume wanafanyiwa sana huko
Ha haaa mwanaume hazungumziwi. Na picha yake unaweza usiione.Jamaa aliekuwa nae hastahili kuombewa??? Why mwanamke peke ake???
Huyu alichepuka peke yake? Unaendeleza yale yale tuliyokuwa tunayapinga! Weka na picha ya mzinzi mwenzake!Wakati tunaendelea kupongezana kuhusu cheating, wale wanaoamini katika kuombea marehemu apunguziwe adhabu wasimsahau huyu mrembo, pretty lady daaah!!
Na hadi sasa sijaiona, na utakuta nae ni mme wa mtu....Ha haaa mwanaume hazungumziwi. Na picha yake unaweza usiione.
Kuna jamaa yeye ana mchepuko binti wa kitanga, yani siku akitoka kuonana tu na mchepuko huo ugomvi sasa nyumbani ni wa kuzima na kikosi cha zima moto, hata wife kishagundua hiloNini kurogwa....
Wakienda huko mara wachomewe chumvi.....
Hawajakaa sawa wakanyagiwe shahawa....
Kabla hawajageuka mwiko utapigwa mahali
Akitaka kunyanyuka kuna mtu anamfanyia ya maji
Asipumue vizuri chupi zitanuiziwa
Hata kuhema hawezi team vitambaa watavifunga na kufunika kwenye ndoaa na mabeseni
Kabla hajapiga kelele watamfunika na ungo
Wataacha kuchanganyikiwa? Yote ni gharama ya umalaya wanaojisifia kuona ni ushujaa... wangetulia na wake zao yasingewapata zaidi wangeombewa mafanikio tu.....mwendo wa novena
Bidada ni mke wa mtu kweli?Na hadi sasa sijaiona, na utakuta nae ni mme wa mtu....