Kuchepuka raha

😀😀😀😀
Nachekaaaa kama mazuri
 
Kwani mkeo ni dada yako? Mwili mmoja huo. Muache akorokochoe kila mahali, na maswali yake umjibu vizuri tu tena kwa adabu.
Utumie muda adimu wa ndoa yako kufurahia na familia yako badala ya kuhangaika na majibu na maswali ya wapita njia mitaani. Hata siku sms imekosewa namba inasema mwanao huku ananisumbua darling, inaweza kuwa ndio mwanzo wa kuporomoka kwa hiyo ndoa.
 
Tena wewe nitaanza kukualika kwenye michango kabisa.. teh teh teh teh

Alafu Kitchen Party uwepo ili umueleze vizuri mumeo akichelewa ujue amepitia kwenye madili...
Hahaha mbona ntakuharibia mke aisee. Inshallah, tuombe tu uzima
 
Hata hivo una moyo miezi tisa???
Mi wiki tu ikiisha asee hali ya hewa lazma ichange
Itakua kuna mtu alimroga sio bure, mume unamtega hategekiiiii....unavaa ovyo ovyo tu aitamanii wapiiii,unamuomba anapiga chenga,mara anaumwa sijui kidudu kinawasha mara kinatoa nini sijui ktk kuchepuka mtu kampa STDs ss inabd usubiri tu apone,miezi 2 inakatika unavumilia,kosa dogo anakupa mgongo wiki nzima, simu hapokei,anachelewa kurudi,.. Aisee sijui nilitoa wapi zile nguvu za kuwait 9 months, ila ndo nilikua na hasira sanaa cz of stress na ye nilikua namsemaaa namjibu mbovuu hatari hata hio appetite inamuishia naona..
 
Aiseee, yani na STDs juu ila mtu hakomi khaa
 

Kwa hizo picha inaelekea hawa watu waliuwawa kabla ya moto... Naona kama amefungwa kamba na yupo too still...

Soma hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…