Kuchepuka raha

kwa sababu namfikiria mwanamke kama Mama wa mtu fulani...
 
Yaani povu linalotoka hapa nashindwa kuelewa kabisa eti mwanamke akic
hepuka hana akili kabisa kwahiyo mnataka
kutuaminisha mwanaume akichepuka ndo ana akili siyo?

Harafu hasira zote hizo za nini? si tunachepuka na wanaume wenzenu? Mbona mnawaonea wivu namna hiyo acheni bwana.
 
Mmmh umejihalalishia kabisa? Acha huo mchezo, hebu cmama kama mwanamke muombee mumeo ataacha tu, biblia inasema mwanamke atamlinda mume wake kwa maombi, cyo kwakuchepuka dada
 
Umesema vyema
 
Wana wivu kweli hawa majamaa. Unakuta mke nachepuka na mume wa mtu. Ila mimi mke naonekana sina akili..mume wa mtu ana akili tena rijali. Nonsense!
 
Aaah mbona msijali
Ila seriously I know you can't do that eti umkomoe mmeo..

I gave you an assignment yesterday, ebu tafuta hii movie ASAP..




Look at this beautiful family..


Dad should give a little bit of his time for his kids..

Ila kiafrika ukifanya hii aiseee utaonekana wa ajabuuu sana.. Baba wanaambiwa mtoto asikuzoee
 
HIVI MNAJUA WEZI WALIVYO HAWANA ADABU???



yaani hata mwanamke akisema Toshaaaa hawezi akasikia (atakuwa tu anajisemea moyoni Usingekileta huku nje)
 
Nawasoma tu lakini, mmefurahi kweli yaani dah! Mungu asimamie wake zetu wazidi kupewa hizi busara aseee...
Read between the lines.
No one is supporting her, ila tunaamini kupitia hii thread kuna vitu vikubwa mmejifunza
1. Unavyoumia mkeo kuchepuka (just a thought of it), ndivyo mkeo anavyoumia na wewe unavyochepuka, tena nyie mnaona fahari kabisa. Mnawaumiza wake zenu sanaaa

2. Stop ignoring your wives. Hiyo attention mnayowapa vimada vyenu huko nje na starehe zenu zisizo na msingi, irudisheni kwa familia zenu

3. No one was born faithful naturally. Hata sisi tunatamani sana wanaume wengine ila tunaamua kuzikana tamaa zetu na kustick na waume wa Ujana wetu (tumeamua kuridhika). Ila nyie sasa mmh
 
Yani nimkomoe mtu kwa kutumia mwili wangu? labda tu niamue kufanya kwa tamaa zangu.

Mmh aisee ngoja nikitulia niiangalie. Wanaume nyie mkiprovide tu mmemaliza malezi yote, tuna safari ndefu sana
 
Inauma eeeeh! Sukumizia na maji.
Nawaona nawaonaa
nmehamishia ligi huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…