Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,791
Unakuta ulikuwa na dream ya ndoa nzuuri...ukampenda mwanamke/binti na kuamua umtolee mahari...kumbe ni balaa tupu.Kabisa mkuu
Ni bora kutokuoa.
Unakuta ulikuwa na dream ya ndoa nzuuri...ukampenda mwanamke/binti na kuamua umtolee mahari...kumbe ni balaa tupu.Kabisa mkuu
Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. Kwa nini kujifeed mawazo hasi kiasi hicho?Unakuta ulikuwa na dream ya ndoa nzuuri...ukampenda mwanamke/binti na kuamua umtolee mahari...kumbe ni balaa tupu.
Ni bora kutokuoa.
Ili uendeleze uasherati, ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa, siku ukiumwa huna hata wakukufunika shuka ndiyo utajua faida ya kuoa na kutokuoa, hivi unakutana na mtu barabarani kisa kapendeza hujui atokako wala kwao kupoje unatangaza uchumba kwanini usiachwe! Waliotulia mnawaacha eti washamba na bado mtanyooka tu mwaka huuUnakuta ulikuwa na dream ya ndoa nzuuri...ukampenda mwanamke/binti na kuamua umtolee mahari...kumbe ni balaa tupu.
Ni bora kutokuoa.
Usikate tamaa... Bado wanawake waaminifu wapoUnakuta ulikuwa na dream ya ndoa nzuuri...ukampenda mwanamke/binti na kuamua umtolee mahari...kumbe ni balaa tupu.
Ni bora kutokuoa.
Kuna haja sana ya kumshirikisha Mungu katika issue hii ya kuoa au kuolewa.Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. Kwa nini kujifeed mawazo hasi kiasi hicho?
Kwahiyo watu wanaoa ili tu wapate wakuwafunika shuka waumwapo?Ili uendeleze uasherati, ni afadhali kuoa kuliko kuwaka tamaa, siku ukiumwa huna hata wakukufunika shuka ndiyo utajua faida ya kuoa na kutokuoa, hivi unakutana na mtu barabarani kisa kapendeza hujui atokako wala kwao kupoje unatangaza uchumba kwanini usiachwe! Waliotulia mnawaacha eti washamba na bado mtanyooka tu mwaka huu
Ndio, zaidi yangu.Zaidi yako?
Huo katoa tu mfano. Na ukiona hauoni maana ya kuoa/ kuolewa ni vyema usifanye hivyo, maana utaja mpa taabu mwenzio bila sababu.Kwahiyo watu wanaoa ili tu wapate wakuwafunika shuka waumwapo?
Kwani nduguyo wa damu hawezi kufanya hivyo?
Wewe ulioa au kuolewa kwaajili hiyo?
Ni kweli kabisaHuo katoa tu mfano. Na ukiona hauoni maana ya kuoa/ kuolewa ni vyema usifanye hivyo, maana utaja mpa taabu mwenzio bila sababu.
Hapana...hilo umesema wewe kama mwanadamu, huwezi jua mipango ya Mungu.Ndio, zaidi yangu.
Umeoa?
Exactly! !!Kuna haja sana ya kumshirikisha Mungu katika issue hii ya kuoa au kuolewa.
Hili nalo nenoHuo katoa tu mfano. Na ukiona hauoni maana ya kuoa/ kuolewa ni vyema usifanye hivyo, maana utaja mpa taabu mwenzio bila sababu.
Si unaamini lkn Mungu kakuandalia the best?Hapana...hilo umesema wewe kama mwanadamu, huwezi jua mipango ya Mungu.
Kweli? Mie nilikuwa sijui kama mke akichepuka anachafua familia, kwahiyo mwanaume akichepuka analembesha familia?
Hapana...Mungu ni shahidi ktk mapito yangu ila pia patient inahitajika.Si unaamini lkn Mungu kakuandalia the best?
Sasa mbona hofu imekujaa, au mapito yako ndio yanayokupa hofu?
Just be patient, mambo mazuri huja kwa wale wanaosubiri.Hapana...Mungu ni shahidi ktk mapito yangu ila pia patient inahitajika.
hahaha..kama mambo yenyewe ndo hayo hapa hakuna namnaNa kwa kauli hiyo ukija kuoa hamna rangi utaacha ona, mdomo huumba.