Weeeeh!! Watoto wote ni wako, wanaanzaje kuwa wa mwingine wakati we ndio baba yao!!!Mama usinipandishe pressure. Ajabu ni pale mtoto unaempenda kwa dhati kabisa anakuwa ndiye sio wako.
Kumbe kabamia ulikuwa ukikasosa unaumia hiyo ni dalili anajua kukatumia na ndiyo maana ulikuwa hoiToka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Duh! Kumbe wanaume peke yao ndio huongea na kufanya mambo ya kipuuzi! SikujuaHaya mapenzi ni ya ajabu sana, inakuaje mwanamke mzima mwenye ndoa uanze tu kulalama na kujiona sasa umeshinda kwa kuchepuka eti mumeo ana "kibamia"? Hapo umesahau kitu kimoja pia, ukute na wewe papuchi yako imetumika sana hata kabla hamjawa pamoja na mwenzio na kufunya iwe kubwa kama bwawa kiasi kwamba sasa inakuwa tabu. Mbona wengine zipo tight na kuna steel wire za kutosha ndani kiasi kwamba mwanaume hachomoki. Hujajiuliza hilo? Endelea tu utavuna unachopanda sasa. Kwanza isitoshe nimekushtukia wewe ni mwanaume sio KE. A real woman won't trash talk like that. Shame on you!
Hizo ndio ndoa za watanzania.Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Umeoa?Kama umeamua kuchepuka wewe chepuka tu. Lakini mambo ya kusingizia mumeo ana kibamia ni utoto. Kama hawara wako anakuridhisha ni vema tu. Ki-imani ni dhambi but who are we to judge? Hata mimi nagonga wake za watu even though I am not proud of it lakini ndio ukweli. Hizi ndio zama zetu kwa bahati mbaya ndoa imekuwa taasisi ya taswira tu na si kujikita kama zamani. Ila kwa uzoefu wangu wake za watu huchepuka to fill an emotional void left empty by an emotionally and physically absent husband. Ndio maufundi ya nje wanayafurahia lakini chanzo ni upweke. Ni wachache huchepuka kwa ajili ya pesa au u-malaya kama hulka.Tatizo ni moja dada yangu, umeanza kuchepuka hutakaa kuacha. Jamaa lazima anasimamia kucha. Utakapokuja kuharibu maisha ya ndoa yako na watoto wako, kaa ukijua wanao watakuchukia daima. But until then wewe jilie tu hilo hogo la jang'ombe. Sio kitu cha kujisifia wala kubeza,ila ukweli utabaki pale pale ya kuwa si muarobaini wa matatizo ya ndoa yako. It is what we call a temporal solution to a chronic problem, it won't last.
Mtenda akitendewa........ Lakini wanawake hamfai mchepuke... Mnaweza mkachafua familiaNaona huu uzi wanaume mmepovukaaaa....
Sasa km hamtaki kuchapiwa kwanini na nyie mnachapa nje....
Kweli? Mie nilikuwa sijui kama mke akichepuka anachafua familia, kwahiyo mwanaume akichepuka analembesha familia?Mtenda akitendewa........ Lakini wanawake hamfai mchepuke... Mnaweza mkachafua familia
Nyie mnachepuka na kina nani km sio sisi wanawake?Mtenda akitendewa........ Lakini wanawake hamfai mchepuke... Mnaweza mkachafua familia
Kweli? Mie nilikuwa sijui kama mke akichepuka anachafua familia, kwahiyo mwanaume akichepuka analembesha familia?
Hahaha mbona wanarembeshaKweli? Mie nilikuwa sijui kama mke akichepuka anachafua familia, kwahiyo mwanaume akichepuka analembesha familia?
Na zinarembeka haswa!Hahaha mbona wanarembesha
Hawa viumbe wananisikitishaga sanaNa zinarembeka haswa!