saidhafidh
Senior Member
- Apr 10, 2013
- 119
- 7
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza, naomba ufafaniz juu hili.
Kuna rafiki yangu shulen kwao alikuja afisa elimu na kupiga mstri mwekwend kweny daftar la mahudhurio la walimu muda wa7:28asubuh na kumuagiza mkuu wa shule awambie wale wote waliokuja baada yake waandike barua ya maelezo kwa nini wamechelewa kazini. Maswali yangu ni kam ifuavyo.
-jee ni upi muda sahihi wa mwalimu kuisabika km amechelewa kazini?
-Jee ni kuchelewa kwa kipindi na muda gani kisheria mwalim atatakiwa kuanza kuchukuliwa hatu.
- Jee kukataa kuandika barua ya maelezo ni kosa kisheria
Ufafanuz zaid naomba juu hili jambo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna rafiki yangu shulen kwao alikuja afisa elimu na kupiga mstri mwekwend kweny daftar la mahudhurio la walimu muda wa7:28asubuh na kumuagiza mkuu wa shule awambie wale wote waliokuja baada yake waandike barua ya maelezo kwa nini wamechelewa kazini. Maswali yangu ni kam ifuavyo.
-jee ni upi muda sahihi wa mwalimu kuisabika km amechelewa kazini?
-Jee ni kuchelewa kwa kipindi na muda gani kisheria mwalim atatakiwa kuanza kuchukuliwa hatu.
- Jee kukataa kuandika barua ya maelezo ni kosa kisheria
Ufafanuz zaid naomba juu hili jambo
Sent using Jamii Forums mobile app