I google m-room.
I see u people swallow dictionary of english
that is good good very goodedhehehe! We are trying trying. Lol
how you? single or album? my job very big msha-diarroheadays these wa-room wahard kupata.
welcome veryI see u people swallow dictionary of english
thanks i'm welcome to roomwelcome very
how you? single or album? my job very big msha-diarrohea
mkuu hiyo kali sanaKuna sehemu moja watu wanajisaidia haja kubwa akimaliza anajisafisha kwa kujisugua kwenye ardhi..lol
Hivi watoto wakikanyaga ubwabwa huwa wanachechemea,why?BAK ww si pediatrician?
how you? single or album? my job very big msha-diarrohea
am album, naruhusu kolaboz. Kama uko dar i will plant a bird to dar now.
Kuna sehemu moja watu wanajisaidia haja kubwa akimaliza anajisafisha kwa kujisugua kwenye ardhi..lol
m-room = mchumbai google m-room.
sio kila kinyesi ukikanyaga unachechemea bwana...
hahahahahahahahaahh mzima kabisa ila nywele ndo msala....utakuwa umefanya jambo la mbolea kweli ila nikinogewa na liafro la ukweli sijui itakuwaje maana sintalirudisha hata zikiota:lol::lol::lol:Nishajua wewe unawaza nini...hahahaha lol! Mzima lakini? Nasikia eti umenyonyoka nywele Mie nina Afro la nguvu njoo nikuazime kiasi kama zitaota tena basi utanirudishia nywele zangu
hahahahahahahahaahh mzima kabisa ila nywele ndo msala....utakuwa umefanya jambo la mbolea kweli ila nikinogewa na liafro la ukweli sijui itakuwaje maana sintalirudisha hata zikiota:lol::lol::lol:
hahahahahahaha we ukishaniazima hilo jiafro andika maumivu :lol:maana hamna kitakachokusaidia kuzipata tena.....cha ajabu mayai hata sili naogopa kuota nanihii ila nywele mtihani halafu uliza wapi kisogoni hahahahahahhahahah!Hahahah lol! Jinsi ninavyolipenda Afro langu utakoma ubishi na kujuta kuzaliwa maana hata kizimbani nitakupandisha kudai nywele zangu lol! Nasikia pia unakula mayai sana punguza kidogo labda nywele zitaota tena hahahaha lol!