Marapai
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 315
- 377
Habarini wanajamvi! Leo katika pitapita zangu ni kawa napiga story na jamaa yangu akadai kuwa eti HAWEZI KUCHATI NA DEMU BILA KUMTONGOZA either iwe humu Jf au fb, whatsup nk. Swali kwetu wanajamvi inawezekana kuchati bila kufika stage ya kutongoza? Wanawake mnafurahia mkitongozwa tongozwaa? Hebu tufunguke wana MMU wanaume kwa wake! . Karibuni!