de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 12,801
- 25,202
- Thread starter
- #21
Umeongea kwa msiaitizo mkubwa sana ndugu yangu. Na hii point ni muhimu sanaMke ni zaidi ya Sex,
Mke ni sehemu ya Familia, Kumtongoza mke wangu ni kuamua kusambaratisha kwa makusudi Familia Yangu maana inajulikana hukumu ya mke msaliti ni kuachwa.
Sasa baada ya kuachwa, wa kwanza kuteseka ni Watoto wangu wazuri, mara walelewe kwa bibi mara dada wa kambo n.k
Kama familia yangu ilivo sambaratika, Bdivyo na wewe ulie kua chanzo ndivyo utakavyo sambaratika. Ili ujifunze kutoendekeza Genye kwenye mashimo ya wanaume wenzio