ommymbwambo
Senior Member
- Mar 25, 2014
- 192
- 66
Hii tabia ya kumchangia mtu ambaye kimsingi hajakurupushwa ni matakwa yake binafsi michango eti anataka kuoa au kuolewa ni sahihi?mtu mmoja unapewa kadi za uanakamati zaid ya saba na kila kamat mchango laki moja na zaid.maoni yenu wakuu.