Kubenea: Lowassa ameonesha njia

Mkuu umeelewa ulichoandika? unashangilia Porojo...na unataka Chadema waende na Bit magu umeelewa vzr ulichoandika kweli?
 
...so uanaharakati ukibebwa na Jamaa yako ni sawa ila wakifanya Chadema hapana now nimekuelewa ndugu
 
Kwahiyo unawashauri Chadema wamlambe miguu mtukufu
 
Sasa kama unaunga Mkono kutofautiana mawazo mbona hutaki Lowasa ajadiliwe
 
Nashauri huyu mzee atupishe.
Hizi ni siasa za ccm hakunaga fikra tofauti .CDM sio ccm lazima tukubaliane na fikra na mbinu tofauti kutoka kwa wanachama achilia mbali Lowasa au Kubenea .
 
Lowassa siyo mtu sahihi kuwa CDM? umerogwa? Nani mwenye chama? Nani alijiunga na chama siku ya kwanza, ya pili akawa mgombea urais na mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama?

Sasa ngoja tumuambie mwenye chama hapa hadharani kama alinunua chama basi aliingizwa mjini, watoto wa marehemu wamekuwa wakubwa.
 
Lowassa katuangusha
Ujui mbinu za siasa au unajua moja tuu au mbili kukabiliana kwa hoja au maandamano ujui zaidi ya hapo .heri hukae kimya ,CDM hoyeee kwakuwa na watu wakuonyesha njia wakati wa mkwamo .Lowasa hoyeee[emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
Kuna udhaifu mkubwa kwa kiongozi mkuu ndani ya Chedema. Yanayoendelea sasa yanaonyesha Mwenyekiti amekosa udhibiti wa nidhamu ndani ya chama. Haiwezekani kila mtu anaibuka na kuzungumza na tamko lake ikachukuliwa ni kauli ya Chama. Hakuna nidhamu ya chama kuwa na utaratibu wa kuheshimu tamko la kiongozi mkuu na wengine kusubiri maelekezo ya vikao.
 
Naanza ku doubt uwezo wa kufikiri wa Kubenea!
Ataa yeye pia kwa msg hii .lazima ataanza ku doubt uwezo wako wa kufikiri .kwani hujui kuwa fikra utolewa zikajadiliwa na kupatikana fikra ya kufanyia kazi .sio fikra kushutumiwa na kuonekana adui .
 
Lowassa siyo mtu sahihi kuwa CDM? umerogwa? Nani mwenye chama? Nani alijiunga na chama siku ya kwanza, ya pili akawa mgombea urais na mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama?

Sasa ngoja tumuambie mwenye chama hapa hadharani kama alinunua chama basi aliingizwa mjini, watoto wa marehemu wamekuwa wakubwa.
 
Ataa yeye pia kwa msg hii .lazima ataanza ku doubt uwezo wako wa kufikiri .kwani hujui kuwa fikra utolewa zikajadiliwa na kupatikana fikra ya kufanyia kazi .sio fikra kushutumiwa na kuonekana adui .
Kuna level ya mtu expected of him or her to think. If you go outside that ambit, then regardless of the liberty one to air his or her views, those capable of philosophical thinking will doubt you.
 
shida moja tuliyo nayo vijana na nakumbuka nimewahi kusema shida hii hata wakati hule wa uchaguzi, tunajibu mambo kwa hisia tu sio kwa kufikiri. Ndugu kubenea ametumia mifano akafanya comparison na kufanya hitimisho lake. Sasa kwanini hatujishughulishi na hoja yake?
 
Naomba na mimi nitoe maoni yangu kidogo...

katika mapambano yoyote inapojitokeza chance au fursa ya kujaribu mbinu mpya basi hutumika ila pia silaha huendelea kuwa mkononi wakati mbinu ya maongezi inatumika mpaka itakapoonyesha mafanikio ndipo silaha zinawekwa chini. Rejea mapambano ya waasi wa FARC dhidi ya serikali ya colombia....rejea wapigania uhuru wa south africa enzi hizo...vita na mazungumzo kwa wakati mmoja.

Wengi wanabeza Lowasa hawezi kibadili ugumu na kiburi cha magu...sio kweli..kwa hali ilipofikia kama taifa Magu na washauri wake wanajua nini kinakuja na wanalazimika kutumia fursa ya kukutana na kiongozi wa upinzani ili waweze kujinusuru na makubwa ambayo yangefuata ...rejea Tundu lissu alivyoanza kutema cheche na ameenda ulaya kwa wazungu ambao wanamsikiliza na kumwona na wanahoji vizuri sana kwa kila.detail.

MAGU ATABADILIKA MAANA HAWEZI KUKUBALI KUPITIA YALE YA MUGABE....na Lowasa ni mtu sahihi maana ni diplomatic na anaouwezo wa ku give and take katika negotiation agenda atazotumwa na vhama pindi muda wa maongezi halisi utapowadia...

SIASA ZA NGUVU MAANDAMANO NA VIRUNGU ZIMEPITWA NA WAKATI....

Inahitaji maji na moto ili chuma kuundwe na muhunzi upate zana ...... magu moto lowasa maji wananchi wahunzi taifa zana bora.

Hawa wakubwa wanapoongea huwa hawatoi details zote...main agenda huwa inafichwa kwanza na mwisho wa siku utasikia lowassa na mbowe wameenda ikulu kuongea na rais then tutaona uhuru wa siasa unaongezeka na mwishowe kesi za kijinga kufutwa na kelele za katiba mpya kusikilizwa na kutekelezwa kwa baadhi ya hatua za kukuza uchumi

NITOE ANGALIZO
...haya ni maoni yangu nayanatokana na uelewa wangu mdogo ila pia sio shuruti yaaminiwe na yachukuliwe kama maandiko matakatifu.
 
Kubenea yupo sahihi. Siasa za kiharakati za akina Lema kwa karne hii hazisaidii
Sio hazisaidii ila tatizo hazikwamui mkwamo uliopo .ukweli sasa hivi ccm imekwama kwa kukosa fikra mpya sasa inatumia nguvu za serikali na cha ajabu CDM nayo inataka kukwama kwa kukataa fikra mpya wakati aina serikali.Ushauri Lema,Mbowe,Lisu,tulizeni kichwa kubalini fikra mpya .CDM tujikwamue
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…