Kubenea Leo amekuwa msaliti Bavicha

Kubenea Leo amekuwa msaliti Bavicha

Frey Cosseny

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2015
Posts
1,984
Reaction score
1,409
Hivi ingetokea mwanahalisi waandike Ben Saanane katekwa na Serikali Bavicha Leo mngechoma gazeti la mwanahalisi?

Je haya matusi mnayomuagia Mitandaoni mh Saed Kubenea mngeyatoa?
Leo Saed Kubenea amekuwa Mmbaya kwa kuwaumbua na biashara ya T-shirt imeharibika na Mkakati wa kutafuta pesa kutumia jina la Ben Saanane imetibuliwa na mwanahalisi.

Siku zote mliona mwanahalisi Ndiyo gazeti bora kwakuwa ilikuwa inapotosha umma kwa kutumia black propaganda lakini mliishabikia na kumwita Kubenea shujaa.
Mkiambiwa nyie ni sawa na Nyumbu mnafuata Mkumbo mnakasirika Ngoja liwashuke Kama tenzi dume.
Asante Saed Kubenea kwa kuweka mambo adharani na kuumbua movie kabla haijakamilika.
[HASHTAG]#MboweMrudisheBenSaananeAkiwaHai[/HASHTAG]
 
>>>>> MwanaHalisi linamilikiwa na Kubenea na Antony Komu. Hawa wote ni Wabunge kupitia Chadema...... Wanachokiandika wanakijua.


>>>>>MwanaHalisi nilianza kuliona taka taka mara baada ya kuanza kumsafisha Lowasa......

>>>> MwanaHalisi lilichangia kumbomoa Zitto.... Lilimbomoa Rostam, Lilimbomoa Lowasa.

>>>> Kubenea ana laana.... Ndio maana hata Bungeni anaropoka mambo ya ajabu... Ni laana za watu. Huwezi kuzungumza mambo ya Shanga hadharani ikiwa una akili timamu...
 
Hawa madogo ni wapuuzi hii issue ya ben kubenea sio fala aandike hayo this means inajulikana na watu humo ndani ya cdm lkn inaonekana imekosa coordination ndio maana imebuma
 
Hawa madogo ni wapuuzi hii issue ya ben kubenea sio fala aandike hayo this means inajulikana na watu humo ndani ya cdm lkn inaonekana imekosa coordination ndio maana imebuma
Mziki mnene hawasikilizani
 
Hawa madogo ni wapuuzi hii issue ya ben kubenea sio fala aandike hayo this means inajulikana na watu humo ndani ya cdm lkn inaonekana imekosa coordination ndio maana imebuma
Siasa za akili ndogo ziliisha 2015
Awamu hii watajutia upuuzi wao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom