Kubenea kumvaa Dr. Slaa

Kubenea kumvaa Dr. Slaa

Safi sana kubenea wa Saidi huyu Padri ni lazima aende Roma kufungwa gavana ya maneno ya uongo, eti alikutwa anakura miogo, miogo ni ya sisi malofa tu. Ye yake ni matanuzi serena hotel
 
Niwekee kwenye MWANAhalisi mimi ni mama lishe kwenye TV sitakuona huwa naanza kuuza chakula saa 12 asubuhi nafunga saa 6 usiku wala TV sina.Ukiniwekea kwenye gazeti nitalisoma kwa wakati wangu.
 
Ngoja niongeze bisi na maji ya kunywa.
 
NIMEMSIKILIZA kwa makini, Dk. Willibroad Slaa, aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema na mgombea urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Akihojiwa na kituo cha televisheni cha Star TV, Dk. Slaa alimtuhumu Edward Lowassa kuwa ni fisadi na akataka wananchi kumchagua “mgombea mwenye nafuu ya ufisadi.” Akamtaja John Pombe Magufuli.

Ameeleza pia kuwa taarifa mpya aliyonayo na ambayo aliitumia katika mkutano wake na waandishi wa habari Jumanne iliyopita, kuhusu sakata la Richmond, aliipata kutoka kwa Dk. Harrison Mwakyembe, aliyekuwa mwenyekiti wa kamati Teule ya Bunge, juu ya Richmond.

Niliamua kutojibizana na Dk. Slaa – rafiki yangu wa miaka mingi – katika mradi wake huu. Lakini kwa hapa alipofika, uvumivu umenishinda. Sitaruhusu mtu mzima, anayejiita padri na ambaye alitaka kuwa rais wetu, kuendelea kulindanganya taifa na kuwapotosha wananchi.

Hivyo basi, nimeamua kuanzia leo hii, kukabiliana na Dk. Slaa kwa kila kona ili ukweli ufahamike. Kwa kuanzia, leo hii – Jumamosi, naelekea mkoani Mbeya ambako nitahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara katika jimbo la Kyera, linaloshikiliwa na Mwakyembe, swahiba mpya wa Dk. Slaa.

Nikiwa Mbeya nitaeleza ukweli wa kilichotokea na kile ambacho Dk. Slaa anakificha.

Aidha, nikirejea Dar es Salaam, nimepanga kuitisha mkutano na waandishi wa habari, kueleza ukweli uliokamilika kuhusu Dk. Slaa na mkewe Josephine Mushumbuzi na sababu

Kwa hiyo umeamua kupambana na kivuli chako, wewe na Ulimboka mlilipwa kiasi gani hata mkaamua kubana Pumzi kama siyo Usaliti?

Kumbuka vita hii ni kubwa siyo size yako, huku ni kupoteza muelekeo Jimboni kwako uko 15% kaeni CDM mjipange upya vinginevyo hata kidogo mtakipoteza.
 
Kwa hiyo umeamua kupambana na kivuli chako, wewe na Ulimboka mlilipwa kiasi gani hata mkaamua kubana Pumzi kama siyo Usaliti?

Kumbuka vita hii ni kubwa siyo size yako, huku ni kupoteza muelekeo Jimboni kwako uko 15% kaeni CDM mjipange upya vinginevyo hata kidogo mtakipoteza.
Nilitaka kukujibu ila id yako tu imenifanya nikusamehe
 
NIMEMSIKILIZA kwa makini, Dk. Willibroad Slaa, aliyekuwa katibu mkuu wa Chadema na mgombea urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu.

Akihojiwa na kituo cha televisheni cha Star TV, Dk. Slaa alimtuhumu Edward Lowassa kuwa ni fisadi na akataka wananchi kumchagua “mgombea mwenye nafuu ya ufisadi.” Akamtaja John Pombe Magufuli.

Ameeleza pia kuwa taarifa mpya aliyonayo na ambayo aliitumia katika mkutano wake na waandishi wa habari Jumanne iliyopita, kuhusu sakata la Richmond, aliipata kutoka kwa Dk. Harrison Mwakyembe, aliyekuwa mwenyekiti wa kamati Teule ya Bunge, juu ya Richmond.

Niliamua kutojibizana na Dk. Slaa – rafiki yangu wa miaka mingi – katika mradi wake huu. Lakini kwa hapa alipofika, uvumivu umenishinda. Sitaruhusu mtu mzima, anayejiita padri na ambaye alitaka kuwa rais wetu, kuendelea kulindanganya taifa na kuwapotosha wananchi.

Hivyo basi, nimeamua kuanzia leo hii, kukabiliana na Dk. Slaa kwa kila kona ili ukweli ufahamike. Kwa kuanzia, leo hii – Jumamosi, naelekea mkoani Mbeya ambako nitahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara katika jimbo la Kyera, linaloshikiliwa na Mwakyembe, swahiba mpya wa Dk. Slaa.

Nikiwa Mbeya nitaeleza ukweli wa kilichotokea na kile ambacho Dk. Slaa anakificha.

Aidha, nikirejea Dar es Salaam, nimepanga kuitisha mkutano na waandishi wa habari, kueleza ukweli uliokamilika kuhusu Dk. Slaa na mkewe Josephine Mushumbuzi na sababu
Yana faida gani malumbano haya?
 
Msaliti Silaha muda si mrefu tutamsahau katika ulimwengu wa Siasa....
 
Naam! Na as long as Mwanahalisi Linarudi hewani..
 
Kubenea amedata, hana lolote la kupambana na Dr Slaa.
 
Sipati picha na mwanahalisi limeschiwa huru
 
Back
Top Bottom