Kubeba madeli ya Ice-cream mgongoni ni hatari kwa Afya

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,318
12,622
Mgongo ni kiungo muhimu sana kwa afya ya kiumbe akiwemo binadamu kilichotengenezwa kwa pingili za mifupa yenye tundu katikati zilizounganishwa kwa misuli maalumu inayonesa iitwayo ligament.

Mgongo una kazi muhimu sana kama vile kushikilia viungo vingine kama manya, mbavu, fuvu la kichwa, mafigo. mifupa ya uti wa mgongo hulinda uti wa mgongo, maji (CSF) ya uti wa mgongo, na kupitisha mishipa ya fahamu (nerves) kwenda kwenye viungo vingine vya mwili. Uti wa mgongo unaunganika na ubongo moja kwa moja na waji ya uti wa mgongo yanazunguuka kutoka kwenye uti wa mgongo hadi kwenye ubongo kichwani. Uti wa mgongo unaupatia mwili balance wakati wa kutembea, kuinama na kubeba mizigo.

Uti wa mgongo hua unaathiriwa sana na kubeba mizigo mizito zaidi ya 20Kg, kuinama kila wakati, ajali na magonjwa kama ya kifua kikuu (TB ya mifupa), homa ya uti wa mgongo na magongwa ya fungus na virusi.

Lakini, mizigo ndiyo inayoongoza kwa shida za migongo. Kuna vijana wengi wanazunguunga na mizigo mikubwa ya biashara mitaani kutwa nzima hasa biashara za maji ya chupa, na matunda vichwani; na madeli ya ice-cream migongoni mwao. Nimefanya kautafiti kadogo ka watu hawa, nikagundua kuwa wengi wao wanaugua shida za migongo. Kati ya watu hawa wenye shida ya migongo wengi wao ni wale wanaobeba mabegi ya ice-cream migongoni na kifuani.

Elimu itolewe kuhusu aina hii hatari ya biashara kwa vijana wetu ambao bado wana kesho nyingi sana. Na ikiwezekana wawe na bima na wasibebe mizingo inayozidi 5Kg mgongoni.
 
Mgongo ni kiungo muhimu sana kwa afya ya kiumbe akiwemo binadamu kilichotengenezwa kwa pingili za mifupa yenye tundu katikati zilizounganishwa kwa misuli maalumu inayonesa iitwayo ligament.

Mgongo una kazi muhimu sana kama vile kushikilia viungo vingine kama manya, mbavu, fuvu la kichwa, mafigo. mifupa ya uti wa mgongo hulinda uti wa mgongo, maji (CSF) ya uti wa mgongo, na kupitisha mishipa ya fahamu (nerves) kwenda kwenye viungo vingine vya mwili. Uti wa mgongo unaunganika na ubongo moja kwa moja na waji ya uti wa mgongo yanazunguuka kutoka kwenye uti wa mgongo hadi kwenye ubongo kichwani. Uti wa mgongo unaupatia mwili balance wakati wa kutembea, kuinama na kubeba mizigo.

Uti wa mgongo hua unaathiriwa sana na kubeba mizigo mizito zaidi ya 20Kg, kuinama kila wakati, ajali na magonjwa kama ya kifua kikuu (TB ya mifupa), homa ya uti wa mgongo na magongwa ya fungus na virusi.

Lakini, mizigo ndiyo inayoongoza kwa shida za migongo. Kuna vijana wengi wanazunguunga na mizigo mikubwa ya biashara mitaani kutwa nzima hasa biashara za maji ya chupa, na matunda vichwani; na madeli ya ice-cream migongoni mwao. Nimefanya kautafiti kadogo ka watu hawa, nikagundua kuwa wengi wao wanaugua shida za migongo. Kati ya watu hawa wenye shida ya migongo wengi wao ni wale wanaobeba mabegi ya ice-cream migongoni na kifuani.

Elimu itolewe kuhusu aina hii hatari ya biashara kwa vijana wetu ambao bado wana kesho nyingi sana. Na ikiwezekana wawe na bima na wasibebe mizingo inayozidi 5Kg mgongoni.
Watafanya nini ikiwa hawaijui kesho yao
 
Mmmh vinavyo bebwa mbona vingi?

Kadada kembamba kama mange kana kilo 37.2 kanalibeba limbaba likubwa 120kg na maisha yanaendelea.

Nyie watafiti hili mbona hamulise? Au basi sawa maana nitaambiwa nithibitishe, na picha kwa sasa sina...........

Au kakaka kadogo kama mme wa shishi kana mbeba shishi na mko kimya hata hamsemi si anaumia mgongo?

Jamani hili nalo mlitazame.
 
Mmmh vinavyo bebwa mbona vingi?

Kadada kembamba kama mange kana kilo 37.2 kanalibeba limbaba likubwa 120kg na maisha yanaendelea.

Nyie watafiti hili mbona hamulise? Au basi sawa maana nitaambiwa nithibitishe, na picha kwa sasa sina...........

Au kakaka kadogo kama mme wa shishi kana mbeba shishi na mko kimya hata hamsemi si anaumia mgongo?

Jamani hili nalo mlitazame.
Hujui kama dereva magari na bajaji ndio wanaolalamika zaidi kuumwa migongo na viuno licha ya kazi yao kuwa ya kukaa ipo hivi kuna vyakula watanzania wengi hatuvitumii kabisa kama unywaji wa maziwa

Maziwa yana calciam nyingi kuimarisha mifupa na misuli

Maziwa yana vitamin b kwa wingi huufanya mwili kutokuchoka

Maziwa yana vitamin c husaidia kulinda mwili
 
Mgongo ni kiungo muhimu sana kwa afya ya kiumbe akiwemo binadamu kilichotengenezwa kwa pingili za mifupa yenye tundu katikati zilizounganishwa kwa misuli maalumu inayonesa iitwayo ligament.

Mgongo una kazi muhimu sana kama vile kushikilia viungo vingine kama manya, mbavu, fuvu la kichwa, mafigo. mifupa ya uti wa mgongo hulinda uti wa mgongo, maji (CSF) ya uti wa mgongo, na kupitisha mishipa ya fahamu (nerves) kwenda kwenye viungo vingine vya mwili. Uti wa mgongo unaunganika na ubongo moja kwa moja na waji ya uti wa mgongo yanazunguuka kutoka kwenye uti wa mgongo hadi kwenye ubongo kichwani. Uti wa mgongo unaupatia mwili balance wakati wa kutembea, kuinama na kubeba mizigo.

Uti wa mgongo hua unaathiriwa sana na kubeba mizigo mizito zaidi ya 20Kg, kuinama kila wakati, ajali na magonjwa kama ya kifua kikuu (TB ya mifupa), homa ya uti wa mgongo na magongwa ya fungus na virusi.

Lakini, mizigo ndiyo inayoongoza kwa shida za migongo. Kuna vijana wengi wanazunguunga na mizigo mikubwa ya biashara mitaani kutwa nzima hasa biashara za maji ya chupa, na matunda vichwani; na madeli ya ice-cream migongoni mwao. Nimefanya kautafiti kadogo ka watu hawa, nikagundua kuwa wengi wao wanaugua shida za migongo. Kati ya watu hawa wenye shida ya migongo wengi wao ni wale wanaobeba mabegi ya ice-cream migongoni na kifuani.

Elimu itolewe kuhusu aina hii hatari ya biashara kwa vijana wetu ambao bado wana kesho nyingi sana. Na ikiwezekana wawe na bima na wasibebe mizingo inayozidi 5Kg mgongoni.
Hakuna lolote,Mimi mwaka wa 20 huu nafanya mazoezi ya squats uzito mpk kg 150, na hakuna shida yoyote
 
Back
Top Bottom