Kubeba handbag ya mdada ni tatizo?

Kubeba handbag ya mdada ni tatizo?

Mwanaume "kubeba" handbag ya mdada ni TATIZO

ILA

mwanaume "Kumsaidia" mdada kubeba handbag kunaweza kusiwe tatizo ikitegemea na sababu na mahali
 
Ndiyo Kuna tatizo, halafu nyie waficha sukari ndiyo mnaotafutwa na rubii
 
"Wakati pekee mwanaume anaruhusiwa kubeba mkoba wa mwanamke, ni wakati yule bibie ni mgonjwa" - Paulo Sergio Schulz, guy code.
 
handbag 1.jpg


Labda handbag yenyewe ili kuwa toleo jipya dizain hii!
 
ulikuwa mkoa upi katika Jamhuri yetu hii ya Muungano wa Tanzania? nchi hii nikubwa na karibia kila mkoa wana utamaduni wao, mfano sisi huku kwetu Nanjilinji ni kitu cha kawaida tu
 
Kuna siku nilienda kumtembelea Boyfriend, sasa mda natoka kwake yeye akawa yuko kama hatua kumi mbele yangu mimi nilikuwa na mdada wa saluni nachukua namba za simu kuna rasta nataka nimwagize

Sasa ile namaliza kuchukua namba mbele kulikuwa na mijibaba kibao kwenye Grocery inamshangaaa hatareeee boyfriend vile kabeba bag yangu....ikanibidi nikimbie nimuwai niwe naye karibu ili kule kushangaa kupungue....

Pamoja na kuwanaye close ile mijibaba iliendelea kushangaaaa tuuu. Sasa sijaelewa kwani boyfriend kubeba begi ya kike ni tatizo? Mbona naonaga Dai anabeba ya Zari na watu hawashtuki? Why my boyfrind washangaeee?

Ndio, kuna tatizo. Mwanaume katika yeyote kubeba beg/hand bag ya kike na kutembea nayo mwendo mrefu ni lazima kuna tatizo kama wako pamoja wanatembea inawezekana huyo mwanaume mkewe/girl friend wake anaumwa, kama huyo mwanaume yuko peke yake huenda ameiba beg hilo au amenyang'anya mkewe na kumwacha huko au mkewe anaumwa kalazwa hospitali kwa hiyo yeye kaamua kuja nyumbani na hand bag, labda huyo mwanaume ni shoga anapenda kutembea na vitu vya kike. Kawaida mwanaume anakushikia mkoba, unarekebisha kitu kama nywele, kanga au kitenge au kwenda kuchimba dawa, ukirudi anakupa mkoba wako na safari ianendelea. Kitendo cha mwanaume kubeba mkoba wa mkewe/mpenzi wake njia nzima hadi kupanda kwenye dala dala anakaa nao lazima kuna tatizo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom