Habari wafugaji natumaini wote ni wazima Leo nimekuja na kitu kipya kabisa kuhusu kubaki kwa kondo la uzazi kwa mifugo wako.
👉Kondo la uzazi ni kiungo kinachounganisha ndama na mfuko wa mimba ili kuruhusu upitishaji wa virutubisho na hewa. Kwa kawaida, kondo hutoka ndani ya saa 6 baada ya kuzaa. Iwapo haitatoka ndani ya muda huo ndani ya saa 12 Hadi 24, hali hiyo huitwa retained placenta.
Ni tatizo la kawaida sana hasa kwa ng’ombe wa maziwa.
---
2. SABABU (Causes):
---
3. MADHARA (Effects):
---
Kama unapitia changamoto hii karibu sana tukuhudumie na changamoto nyingine
Kwa mawasiliano zaidi
0674740836
0792263640
👉Kondo la uzazi ni kiungo kinachounganisha ndama na mfuko wa mimba ili kuruhusu upitishaji wa virutubisho na hewa. Kwa kawaida, kondo hutoka ndani ya saa 6 baada ya kuzaa. Iwapo haitatoka ndani ya muda huo ndani ya saa 12 Hadi 24, hali hiyo huitwa retained placenta.
Ni tatizo la kawaida sana hasa kwa ng’ombe wa maziwa.
---
2. SABABU (Causes):
- Upungufu wa lishe bora – hasa vitamini A, E na selenium.
- Kuzaliwa kwa ndama aliyekufa
- Ugonjwa wa kifua kikuu au Brucellosis
- Kuzaa kwa upasuaji au shida wakati wa kuzaa
- Mimba ya mapacha
- Maambukizi ya virusi au bakteria
---
3. MADHARA (Effects):
- Maambukizi ya mfuko wa uzazi (metritis)
- Kupungua kwa maziwa
- Kushindwa kurudia joto kwa wakati
- Kushindwa kushika mimba
- Kutofanya uzalishaji kwa ufanisi
- Kifo kwa mnyama ikiwa hali itazidi (kwa nadra)
---
Kama unapitia changamoto hii karibu sana tukuhudumie na changamoto nyingine
Kwa mawasiliano zaidi
0674740836
0792263640