Kubadilishana kituo cha kazi

Kubadilishana kituo cha kazi

Rizeeck

Member
Joined
Aug 7, 2014
Posts
30
Reaction score
5
Naitwa mwl msofe. nipo musoma v. mara... nataka kubadilishana kituo cha kazi nirudi Arusha,manyara,kilimanjaro,tanga,babati, nipo mahali penye huduma zote. umeme.maj.tigo pesa.m pesa.airtel money... tuwasiliane 0767 900094...
 
Kwa staili hii sidhan km utafanikwa,kwa ushaur piga deal na watu wa halmashaur unayotaka kuhamia upate nafas,ikipatikana nafas sbb ya kuhama hua hazikosekani.
 
Back
Top Bottom