Asante Sana ila tatizo yeye anapenda kusoma sayansiAende huko HGK awe mwanasiasa/ mwanasheria ndo kunalipa.. Si unaina wakina Tundulisu na Lowassa wanavyokula shavu.. Au mwingine alikua mwanadayansi sasa hivi ni mwanasiasa... Tatizo watu wamekariri.. Masayansi haya ni magumu...kazi zake ngumu na malipo yake ni duni... Zingatia ushauri wangu baada ya miaka mitano had ni nane atakuja nishukuru kwenye ansadi hii..
Ndio mkuu huo mchepuo WA CBG upo kabsa kwenye hiyo shule ndo maana nmeuliza kabla hajaripoti isije akafika kule wakamkatalia kubadili combination,,ni bora kujua mapema ili Kama hakuna uwezekano tumtafutatie shule ya privatefuatilia mapema kujua vigezo na sifa,ambazo zitamruhusu kubadili mchepuo katika shule anayokwenda.maana shule zinazingatia idadi ya wanafunz na ufaulu na vigezo vingne kam tahasusi anayoitaka ipo hapo shulen.
Kuhama Hiyo Tahasusi ni ngum kidogo Maana Alipo kafaulu zaid kuliko atakapo.... Point 9 dhidi ya point 10 Afu zaid math ana D kwa science wanazngatia....anyway awahi mapema akajaribu anaweza kupata wakimzingua Basi mtafutieni hata Private maana Hata Dada angu nae anataka CBG wamempeleka HGLMath-D, Physics-D, Bios-C, Geo-C, Chem-D, Hist-C, Eng-C, kisw-C, civ-C-Amepata div3 ya22
Asante Sana mkuuKuhama Hiyo Tahasusi ni ngum kidogo Maana Alipo kafaulu zaid kuliko atakapo.... Point 9 dhidi ya point 10 Afu zaid math ana D kwa science wanazngatia....anyway awahi mapema akajaribu anaweza kupata wakimzingua Basi mtafutieni hata Private maana Hata Dada angu nae anataka CBG wamempeleka HGL
Kama dada yako yupo form 5 bac ww utakuwa upo form one kumbe umu mitoto kibaoKuhama Hiyo Tahasusi ni ngum kidogo Maana Alipo kafaulu zaid kuliko atakapo.... Point 9 dhidi ya point 10 Afu zaid math ana D kwa science wanazngatia....anyway awahi mapema akajaribu anaweza kupata wakimzingua Basi mtafutieni hata Private maana Hata Dada angu nae anataka CBG wamempeleka HGL
CCD kwa CBG ni ngumu sana kupata nafasi kwa government maana haja- balance combination, ufaulu wa combintion hiyo kwa Mwaka jana ni mkubwa sana. Wengi wao wamechukuliwa kwa ABB, BBB, BCC, na wachache sana wameanda CCC. Hivyo inabidi aongee kwanza na mkuu wa shule ili kujua msimamo wa shule ukoje.Samahani wakuu,, kuna mdogo wangu amechaguliwa kwenda form five kwa mchepuo wa HGK Ruvu girl's high School Lakini yeye anataman asome science mchepuo wa CBG na tayari ameishasoma tuition yamasomo hayo, je kunauwezekano akifika kule akaruhusiwa kubadilisha? Cbg ana CCD,,,nawasilisha wakuu