Hata Custom Assistant wamewekewa hivyo hivyo shortlisted . Kutoka Selected for Oral.Hata Mimi imebadilika ila wale wa Customs haijabadilika,,,Mimi nachojua kama not selected inatakuwa ibaki ivyoivyo,,kama selected inatakiwa ibaki ivyoivyo,,,kurudi kwenye shortlisted maana yake kuna circumstances flan,,,Wale wa customs wanasema wao ipo vilevile Selected and not selected,,,why was Tax iwe shortlisted?
Hapo kwenye matokeo yanatoka lini mm mwenyewe nasubiri majibu Ila kuhusu Alama za oral naamini zinajitegemea km ulifanya Vizuri Oral Basi tegemea mambo mazuriHivi haya matokeo yanatoka baada ya muda gani? I mean oral ikishafanyika matokeo ya waliopangiwa nafasi za kazi yanatoka baada ya siku ngapi? Pia nataka kujua hivi zile alama unazopata kwenye written huwa zina effect kwenye overall ya matokeo? I mean kwa mfano kwenye written umepata 80% ila kwenye oral ukapata 50% Je kuna uwezekano wa alama za kwenye written zikakubeba?
Sawa mkuu. Acha tuombe Mungu mambo yatoke vizuri.Hapo kwenye matokeo yanatoka lini mm mwenyewe nasubiri majibu Ila kuhusu Alama za oral naamini zinajitegemea km ulifanya Vizuri Oral Basi tegemea mambo mazuri
Ukifka eneo la tukio unakaguliwa vyeti na kitambulisho, unakabadhi simu zako zote na saa smart kama unayo kwa wahusika kwa kuandika majina yako ,unapangiwa eneo la kusubiri usahili kama chumba maalumu ,zamu yako ikifika unaelekea chumba cha usahili kufanyiwa usahili wa mahojiano ukimaliza unapewa simu zako unachapa lapa eneo la usahili utakiwi kuonekana.Mliofanya oral utumishi tupeni maelekezo wa zoezi zima kuanzia kuingia hadi kutoka
Mm imeandika selected n hyo kazi nilishaikosaMm nafahamu ukifanikiwa kupita kwenye oral wanaandika selected, hapo unakua ni mmojawapo wa kupata kazi.
ZA NDAAAAAANI KABISA! Kuna interview nyingine ina.....Habari wakuu, poleni na majukumu. Siku ya leo nimeingia ajira portal na kukuta mabadiliko fulani nikashindwa kuelewa japo Hii ni mara yangu ya 7 kuomba kazi utumishi.
Kwa wale mliokuwa mkikubaliwa for oral interview, hivi ile sentence huwa inabadilika? Mfano kwenye picha nilizoambatanisha, mwanzo ilikuwa selected for oral interview na leo baada ya kuingia nimekuta shortlisted.
NB: tumekwisha kufanya oral interview ya TRA. Na baada ya kufanya nimekuta neno shortlisted na mwanzo ilikuwa selected for oral interview.
Hapo kuna picha mbili tofauti. Position mbili za mwanzo ni picha ya kwanza ambayo niliona wakati nimefanya written
Na position mbili za mwisho ni muonekano wa baada ya kufanya oral
Mwenye ufahamu na hili tafadhali atujuze. Je ni kawaida kuwa hivyo au ni system tu imecheza kidogo
View attachment 2163132
View attachment 2163133
Uko serious boss?ZA NDAAAAAANI KABISA! Kuna interview nyingine inakuja. Vijana mliofanya oral siku Ile mlizingua wengi. Na ratio ya serikali ni 3 candidates for 1 position. So kaeni mkao wa kula kwa wale mliopata 49.8 mpaka 45. Ngwe ya pili yaja
ZA NDAAAAAANI KABISA! Kuna interview nyingine inakuja. Vijana mliofanya oral siku Ile mlizingua wengi. Na ratio ya serikali ni 3 candidates for 1 position. So kaeni mkao wa kula kwa wale mliopata 49.8 mpaka 45. Ngwe ya piliHabari wakuu, poleni na majukumu. Siku ya leo nimeingia ajira portal na kukuta mabadiliko fulani nikashindwa kuelewa japo Hii ni mara yangu ya 7 kuomba kazi utumishi.
Kwa wale mliokuwa mkikubaliwa for oral interview, hivi ile sentence huwa inabadilika? Mfano kwenye picha nilizoambatanisha, mwanzo ilikuwa selected for oral interview na leo baada ya kuingia nimekuta shortlisted.
NB: tumekwisha kufanya oral interview ya TRA. Na baada ya kufanya nimekuta neno shortlisted na mwanzo ilikuwa selected for oral interview.
Hapo kuna picha mbili tofauti. Position mbili za mwanzo ni picha ya kwanza ambayo niliona wakati nimefanya written
Na position mbili za mwisho ni muonekano wa baada ya kufanya oral
Mwenye ufahamu na hili tafadhali atujuze. Je ni kawaida kuwa hivyo au ni system tu imecheza kidogo
View attachment 2163132
View attachment 2163133
Ulifanya oral?Uko serious boss?
Mkuu hiyo ratio huwa ni kwenye written sio oral.ZA NDAAAAAANI KABISA! Kuna interview nyingine inakuja. Vijana mliofanya oral siku Ile mlizingua wengi. Na ratio ya serikali ni 3 candidates for 1 position. So kaeni mkao wa kula kwa wale mliopata 49.8 mpaka 45. Ngwe ya pili
Ulifanya oral?
Ndio mkuu,nilifanya TMO.ZA NDAAAAAANI KABISA! Kuna interview nyingine inakuja. Vijana mliofanya oral siku Ile mlizingua wengi. Na ratio ya serikali ni 3 candidates for 1 position. So kaeni mkao wa kula kwa wale mliopata 49.8 mpaka 45. Ngwe ya pili
Ulifanya oral?
Hiyo yako kali sasa mkuu hivi unajua Oral hakuna majibu watarejea vipi wakati wanaangalia aliepata maksi za juu unaitwa kazini hiyo issue umeitolea wapi unatutisha ujueNdio mkuu,nilifanya TMO.
Mimi nawatisha na nini mkuu?Hiyo yako kali sasa mkuu hivi unajua Oral hakuna majibu watarejea vipi wakati wanaangalia aliepata maksi za juu unaitwa kazini hiyo issue umeitolea wapi unatutisha ujue
Usigope ndugu nilimdhamiria jamaa aliesema kunazachini chini Interview Ikarudiwa kisa watu kufeliMimi nawatisha na nini mkuu?
Hivi haya matokeo yanatoka baada ya muda gani? I mean oral ikishafanyika matokeo ya waliopangiwa nafasi za kazi yanatoka baada ya siku ngapi? Pia nataka kujua hivi zile alama unazopata kwenye written huwa zina effect kwenye overall ya matokeo? I mean kwa mfano kwenye written umepata 80% ila kwenye oral ukapata 50% Je kuna uwezekano wa alama za kwenye written zikakubeba?
Unamaanisha au just kuwafariji tu vijana?utumishi sijawahi kusikia huo utaratibuZA NDAAAAAANI KABISA! Kuna interview nyingine inakuja. Vijana mliofanya oral siku Ile mlizingua wengi. Na ratio ya serikali ni 3 candidates for 1 position. So kaeni mkao wa kula kwa wale mliopata 49.8 mpaka 45. Ngwe ya pili
Ulifanya oral?
Anajifajiri wakati mkeka uko njiani soonUnamaanisha au just kuwafariji tu vijana?utumishi sijawahi kusikia huo utaratibu
Imechange tena kutoka shortlisted kua selectedAnajifajiri wakati mkeka uko njiani soon