Nicky nicky
Senior Member
- Aug 20, 2011
- 106
- 9
Poleni na majuku! Binafsi mi ni mwajiliwa wa halmashauri moja kama mwalimu mwenye shahada ya elimu.pia nina post graduate diploma ya ununuzi na ugavi. Nina mambo mawili nayoomba mnijuze; je, kwa kuwa nina post graduate diploma ya fani mpya ninaweza kuruhusiwa kubadili ajira yangu na kuhamia idara ya manunuzi? Pili, ni taratibu gani za kufuata ili zoezi la kubadili ajira likamilike? Naomba kuwasilisha huku nikitumai kupata majibu sahihi. J.tatu njema.