Breki imefeli.
Upupu na kinyaa ndani yake, yafaa kuweka kitu kinachotufunza sisi na wewe pia sidhani ktk hili kama kutakuwa na chakujifunza
duh!! jamaa kajichafua.
Upupu na kinyaa ndani yake, yafaa kuweka kitu kinachotufunza sisi na wewe pia sidhani ktk hili kama kutakuwa na chakujifunza
ni zaidi ya kufeli.....duuuh! Maana hao washkaji walivyojazana kwenye hicho kikao cha dharura...balaaa!! #sijui mpigwaji alikuwa na taarifa juu ya hili...
Dah cha kujifunza kipo bwana,,kujisafisha vizuri na sio kukurupuka ukasahau ka mzigo kidogo tu inakuwa nomaaaaa kama hiyo