Tody's vision
Member
- Sep 10, 2011
- 14
- 2
Bila kuwapotezea mud me ni Graduate wa IT na ktk kutafuta kazi sioni mafanikio ila nina wazo la kuanzisha saccos ambayo itajumuisha vijana wote wa mahali ninapo ishi tatizo cjui utaratibu wa kuanzisha saccos ukoje na changamoto zake ni zipi? Malengo yangu ni vijana tujijengee uwezo wa kujiajiri hasa ktk kuanzisha kiwanda cha bidhaa za ngozi ila cntopata mtaji kama sina rasilimali za kutosha na njia pekee ya kupata rasilimali fedha ni kuwa na rasilimali watu, mawazo ninayo mengi uwezo ninao mkubwa wa kupanga na kusimamia hata kuendesha biashara nahitaji njia sahii mwenye ujuzi zaidi tafadhali tujuzane zaidi