johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,113
Tutakuwa na Wakati Mzuri sana Wakati 90%+ ya Watanzania tutakuwa kwenye mfungo ama Kwaresma au Ramadan.
Kiufupi Dhambi zitapungua sana.
Mungu awaepushe Wanasiasa na Dhambi za Maneno, Matendo na Mutotimiza Wajibu.
Mungu wa Mbinguni awabariki nyote. 😃😃
Kiufupi Dhambi zitapungua sana.
Mungu awaepushe Wanasiasa na Dhambi za Maneno, Matendo na Mutotimiza Wajibu.
Mungu wa Mbinguni awabariki nyote. 😃😃