Elections 2010 KUANGUSHWA: Jinsi Samwel Sitta alivyotoswa kwenye Uspika

Hii kali, lakini kwangu mimi mpaka sasa haijangia akilini ni kwa nini wamemtosa bwana six, hii nchi kwa jinsi inavyoendeshwa, wananchi tusipobadilika , tutaendelea kuishi maisha ya shida sana na kula mlo mmoja kila siku huko mitaa ya Buguruni, tandale, Mabatini mpaka tukome na huko vijijini tutaendelea kulala kwenye nyumba za mbavu za fisi mpaka basi.Just listen, mtu anakwambia nipe mtoto nikusomeshee na nitampa elimu bora kabisa na siyo bora elimu, nitakupungizia gharama za mabati na cement kwa asilimia 67% means from 15000Tsh - 5000Tsh, still mtu unakataa kumpa mtoto wako na unataka kuendelea kuishi kwenye makaazi duni kabisa, sasa sisis ni watu au? tunatumia akili zetu kufikiri au ? halafu hata mwezi haushi mnanza kupigia ndugu zenu simu huko mjini eti mwanangu anapungua na ada naomba uniongezee ili nimpeleke shule, kweli jamani? shame up on you.

Waache watakula joto ya jiwe
 
Nyie ndo makuhani wa mafisadi, watu tunapambana na mafisadi toka dini zote refer (Rostam & Lowassa), we unaanza kujadili dini za watu eti ndo chanzo cha matatizo, EPA,Richmond, nipe mfano wa wizi ulofanywa na watu wa dini moja, kipindi cha Rais gani Tanzania haikuyumba nenda vijijini kaulize kama Dini ya RAIS imeshawahi kuwaletea umeme au maji, Kama unaamini Dini ya Rais ndo chanzo cha matatizo ya Nchi kama Rwanda,Burundi,Kenya, Zambia,Mosambique zisingeyumba. Kama bado unamawazo ya Dini ya mtu ndo chanzo au solution ya Tatizo ulipaswa kuwepo Dunian Karne kadhaa ZILIZOPITA. Usiturudishe nyuma.
Mimi nashangaa sana watu wanaowafungamanisha mafisadi na dini !!!!!!, hivi mafisadi wana dini
Kama Chenge utasema Mkristo kweli yule naawambia hana dini
Kam Rostam , hawezi kuwa na dini kwa maana uislam haurusu wizi kama anaofanya yeye
Kam Lowasa , ana DINI gani , kwanza kuna tetesi naye anatoka sana nje ya ndoa kuna tetesi anagonga yule muuimbaji wa gospal C shushu
kama Makamba , chakaza ile mbaya wa wanawake , huyu hana dini

Mimi nawauliza wale wanaozungumzia Dini katika masuala ya siasa
Ni katiba ya chama gani inanukuu vitabu vya dini ?

HII ITAKUWA KIKWETE TIMU INAYONDELEZA PROPAGANDA ZA UNDINI

MLAAAAAAAAAAANIWE WOTE WENYE TABIA HIYO
 
1 Ndugu Kakaya Mrisho Kikwete - Mwenyekiti
2 Ndugu Pius Msekwa - Makamu Mwenyekiti (Bara)
3 Ndugu Amani Abeid Amani Karume - Makamu Mwenyekiti(Zanzibar)
4 Ndugu Yussuf R Makamba - Katibu Mkuu
5 Capt(mst) George Huruma Mkuchika - Naibu Katibu Mkuu (Bara)
6 Ndugu Salehe Ramadhan Ferouz - Naibu Katibu Mkuu (Zanzibar)
7 Dr. Ali Mohamed Shein - Mjumbe
8 Ndugu Edward Ngoyai Lowassa - Mjumbe
9 Ndugu Shamsi Vuai Nahodha - Mjumbe
10 Alhaj Ali Hassan Mwinyi - Mjumbe
11 Ndugu Benjamin William Mkapa - Mjumbe
12 Dr. Salmin Amour - Mjumbe
13 Ndugu John Samwel Malecela - Mjumbe
14 Capt. (mst) John Zefania Chiligati
15 Ndugu Amos Gabriel Makala - Mjumbe
16 Ndugu Bernard Kamilius Membe - Mjumbe
17 Ndugu Kidawa Hamid Saleh - Mjumbe
18 Ndugu Samwel John Sitta - Mjumbe
19 Ndugu Pandu Ameir Kificho - Mjumbe
20 Ndugu Anna Abdallah - Mjumbe
21 Ndugu Rostum Aziz - Mjumbe
22 Dr.Mohamed Gharib Bilal - Mjumbe
23 Ndugu Pindi Hazara Chana - Mjumbe
24 Ndugu Andrew Chenge - Mjumbe
25 Dr.Maua Abeid Daftari - Mjumbe
26 Ndugu Samia Suluhu Hassan - Mjumbe
27 Ndugu Mohamed Seif Khatib - Mjumbe
28 Ndugu Haji Omar Kheri - Mjumbe
29 Dr.Abdallah Omari Kigoda - Mjumbe
30 Ndugu Abdurahman Kinana - Mjumbe
31 Ndugu Anne Semamba Makinda - Mjumbe
32 Ndugu Fatuma Said Ali Mchumo - Mjumbe
33 Ndugu Zakia Hamdan Meghji - Mjumbe
34 Ndugu Omar Yussuf Mzee - Mjumbe
35 Ndugu Emmanuel John Nchimbi - Mjumbe
36 Ndugu Ali Ameir Mohamed - Mjumbe
37 Ndugu Yussuf Mohd Yussuf - Mjumbe


Nikiangalia hapo juu sita ana wabaya wake kibao
Alafu yeye hatakuwa tena kwenye hiyo kamati , kwa hiyo ile ambition yake ya kuwa Raisi aweke kando maana fitina huwa zinaanza kwenye hii kamati kama si mjumbe is very hard to penetrate

Kwa orodha hiyo, kila mtanzania hatashangaa kwa nini six amedondoka.
 
Nchi yoyote inakuwa determined na rais aliye madarakani, huyo ndo aliyepewa power ya kufanya maamuzi ya mwisho. Mnapokuwa na rais bogasi ka JK lazima mwanguke. Nadhani mmesahau Mwinyi alivyokuwa kilaza pia na nchi ilikwenda wapi! Hivyo watu wanalalamikia dini sababu waislamu frnkly speaking ni wazembe na kila wanapopata urais nchi inayumba, tunamifano, ya mwinyi na sasa kikwete. Lazima hilo mkubaliane nalo.
Ukifuatilia karibu nchi za kiislamu zinaoendelea ni zile ambazo wameamua kwa asilimia kubwa kuachana na uislam wa ndani (extremism).

Habari ndo hiyo, JK ni mchovu kama alivyokuwa ndugu yake mzee wa ruksa.

Uchambuzi wako nimeupenda na naunga mkono kwa asilimia 200. Ubarikiwe sana mpendwa wa Mungu.
 
Anavuna alichopanda. Ukipanda mchicha huwezi vuna bangi. Ukipanda Nyanya huwezi vuna pilipili.
Tulimshauri sana hakusikia. Wacha apate.

Mara nyingi mtu ukiwa ndumila kuwili basi mwisho wako unakuwa kama yalivyompata Sitta!!Alitaka kuwafurahisha mafisadi kwa kuinyonga hoja ya Richmond; alikwisha waumiza na papo hapo akawa anawahurumia na sasa wao wamepata nafasi hawamuhurumii bali wanamsulubu moja kwa moja bila huruma!! Huwezi kuuwawa kwa kisu kama umeua kwa upanga!!
 
na bado wengine watamfuata. SAsa hivi akiamia CHADEMA hatumtaki, maana amesubili mpaka wamemshusha thamani hao mafisadi. Yeye kama anayo akili muda bado anao, na isitoshe angegombea kupitia chadema tokea kipindi kile sasa angekuwa anagalau LAKINI MAFISADI WAMEMLEGEZA MZEE WA WATU.

Hana ujasiri wa akina sendeka, na kifupi hawezi kuonekana tena.
Pole 6, hapo sina la kukushauli yaache mambo yaende kama yalivyo.
Kakwo siku ZIMEGANDA AKYAMUNGU

ahahah ahahah ahahaha.... sendeka nae ni jasiri? hakuna kitu kama hicho ndani ya hicho chama. wewe subiri wote hao akina sendeka,mwakyembe,manyanya,kilango na wote wanaojiita wapambanaji wa ufisadi watakutana na panga la chama chao.ushauri pekee kwao,kama wao kweli ni wapinga ufisadi,ondokeni ccm! ama sivyo hivi karibuni yatawakuta yaliyomkuta malecela,shelukindo,selelii na sasa sam6.
 
Miongoni wa masuala ya kisiasa yaliyotokea hapa nchini na kusononesha wananchi wengi na hata viongozi wa mataifa mbalimbali yanayofuatilia siasa za Tanzania, ni kuondolewa kwa Mzee Sitta kwenye kinyang'anyilo cha kiti cha uspika. Kila mtanzania mzalendo anatambua fika kuwa Mzee Sitta alikuwa anawindwa na mafisadi tangu kuanza kwa Bunge lililopita. Wengi wanazungumzia suala la Richmond kama limechangia kwa kiasi kikubwa kuondolewa kwa Mzee Sitta lakini kwa watu makini wanatambua kuwa hata Richmond isingekuwepo, Mzee Sitta angeondolewa tu kutokana na uhuru mpana aliokuwa ameutoa kwa wabunge kuchangia mawazo yao bungeni bila woga. Hilo lilikuwa ni badiliko kubwa sana kwa takriban miaka 20 iliyopita tangu uongozi wa Mzee Mwinyi na Mzee Mkapa. Mzee Sitta amejizolea sifa kubwa ya kutukuka kwa uongozi wake mahiri bungeni. Hata kama wakati fulani nae alikuwa akisukumwa na maslahi ya chama, lakini kwa ujumla, watanzania tumeshuhudia kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu, waziri mkuu na mawaziri wengine wakiadabishwa kwa kulazimishwa kujiuzulu kutokana na makosa ya kiutendaji.

Kutokana na utendaji huo uliotukuka, ninamshauri Mzee Sitta akatae katakata uteuzi wa kinafiki wa aina yoyote serikalini au kwenye chama chake cha ccm. Kwa kufanya hivyo, atakuwa amelinda heshima yake mbele ya wananchi. Nina hakika kabisa kuwa wabaya wake wamemuandalia 'vyeo uchwara' ambavyo kupitia hivyo, Mzee Sitta atajikaanga kwa mafuta yake na kufuta rekodi yake mioyoni mwa watanzania.
 
Nyie ndo makuhani wa mafisadi, watu tunapambana na mafisadi toka dini zote refer (Rostam & Lowassa), we unaanza kujadili dini za watu eti ndo chanzo cha matatizo, EPA,Richmond, nipe mfano wa wizi ulofanywa na watu wa dini moja, kipindi cha Rais gani Tanzania haikuyumba nenda vijijini kaulize kama Dini ya RAIS imeshawahi kuwaletea umeme au maji, Kama unaamini Dini ya Rais ndo chanzo cha matatizo ya Nchi kama Rwanda,Burundi,Kenya, Zambia,Mosambique zisingeyumba. Kama bado unamawazo ya Dini ya mtu ndo chanzo au solution ya Tatizo ulipaswa kuwepo Dunian Karne kadhaa ZILIZOPITA. Usiturudishe nyuma.
Baeleze ba elewe bob sam!
 
Miongoni wa masuala ya kisiasa yaliyotokea hapa nchini na kusononesha wananchi wengi na hata viongozi wa mataifa mbalimbali yanayofuatilia siasa za Tanzania, ni kuondolewa kwa Mzee Sitta kwenye kinyang'anyilo cha kiti cha uspika. Kila mtanzania mzalendo anatambua fika kuwa Mzee Sitta alikuwa anawindwa na mafisadi tangu kuanza kwa Bunge lililopita. Wengi wanazungumzia suala la Richmond kama limechangia kwa kiasi kikubwa kuondolewa kwa Mzee Sitta lakini kwa watu makini wanatambua kuwa hata Richmond isingekuwepo, Mzee Sitta angeondolewa tu kutokana na uhuru mpana aliokuwa ameutoa kwa wabunge kuchangia mawazo yao bungeni bila woga. Hilo lilikuwa ni badiliko kubwa sana kwa takriban miaka 20 iliyopita tangu uongozi wa Mzee Mwinyi na Mzee Mkapa. Mzee Sitta amejizolea sifa kubwa ya kutukuka kwa uongozi wake mahiri bungeni. Hata kama wakati fulani nae alikuwa akisukumwa na maslahi ya chama, lakini kwa ujumla, watanzania tumeshuhudia kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi yetu, waziri mkuu na mawaziri wengine wakiadabishwa kwa kulazimishwa kujiuzulu kutokana na makosa ya kiutendaji.

Kutokana na utendaji huo uliotukuka, ninamshauri Mzee Sitta akatae katakata uteuzi wa kinafiki wa aina yoyote serikalini au kwenye chama chake cha ccm. Kwa kufanya hivyo, atakuwa amelinda heshima yake mbele ya wananchi. Nina hakika kabisa kuwa wabaya wake wamemuandalia 'vyeo uchwara' ambavyo kupitia hivyo, Mzee Sitta atajikaanga kwa mafuta yake na kufuta rekodi yake mioyoni mwa watanzania.


Angelikuwa ndiyo mimi ningehama chama.
 
Hii ni baada ya kamati kumuelewesha akae pembeni na asubili kiti kingine atakachateuliwa
page+4.JPG
 
Kama aliponea tundu la sindano kutimuliwa CCM na uspika ndio wamemchinjia baharini, unadhani atapewa chochote?. Hapewi chochote, completelly nill ila atabaki kuwa mtumishi wa wananchi wake wa Urambo.
 
Hapana, kuhamaChama sio suluhisho ila atulie alinde heshima yakekwaumma kwakutojiingiza kwenye uteuzi wowote maana siwameona haifai iko siku umma utasema anafaa.
 
Angelikuwa ndiyo mimi ningehama chama.

Laiti Sita angeyajua haya tangu awali angeshahama chama ila alikuwa na matumaini kuwa angerudishwa kwenye nafasi yake ya uspika.
Na sasa baada ya kutoswa ana matumaini ya kuukwaa angalau unaaibu waziri.
Endapo atatoshwa na nafasi hiyo, hapo ndipo wazo la kuhama chama ndipo litakapokuja kwani 2015 hata nafasi ya kugombea ubunge atatoswa.
 
Tena kabisa Mh Sitta usikubali cheo chochote iyo itakuwa danganya toto,kaa hapo bungeni tena back bench halafu uwe unaiwashia moto serikali kwa sana tu (jana nilikuwa nimekaa sehemu nikasikia kuwa mh. sitta tokea juzi anapigiwa simu na jk hapokei, kama ni kweli safiiii!! tena i-delete no yake kabisa!!!)
 
Hivi wewe Malaria Sugu unafurahia Sita kutoswa au?
Hebu nipe maoni yako juu ya jambo hili.
 
Makosa yameshafanyika lakini ni vyema kuangalia ni wapi Mh Sitta alifanya makosa. Inaonekana wazi kabisa CCM walimweka kwenye target huyu mkuu na yeye bila kuwa makini akaingia kwenye mtego.

Sitta alifikia sehemu akawa the strongest person kwenye chama chake, huwa tunasema akakiweka chama mkononi mwake, badala ya kusonga mbele akakubali kurudi nyuma, this was a major, major mistake. Sitta alitakiwa awe destructive as much as he could, yeye aliruhusu maamngamizo ya Lowasa na wengine yet badala la kuhakikisha wamekwisha kabisa kisiasa akawaacha. Nini alitakiwa afanye Sitta?

Sita alitakiwa asimamie kuangamizwa kwa CCM kwa njia tofauto tofauti. Kwanza Alitakiwa kuruhusu hoja kali kabisa ikiwemo kuwafilisi mali zao zote kina Lowasa na system nzima maana wabunge walikuwa kitu kimoja wakati ule. Aidha angeruhusu serikali kutiwa hatiani kwa makosa yote na hapo angepata public support zaidi na zaidi. Kama angeendelea kubaki CCM bila kufukuzwa angechukua fomu kugombea kuteuliwa kugombea uraisi, wangemnyima angetimkia CHADEMA naamini wangemwachia agombee na nina uhakika CCM ingeangamia tu.

Sasa ona mafisadi wanavyomsulubu mzee wa watu, dah pole sana,

...MKUU, UMENENA! As said, you cannot eat your cake and have it!
 
[Anavuna alichopanda. Ukipanda mchicha huwezi vuna bangi. Ukipanda Nyanya huwezi vuna pilipili.
Tulimshauri sana hakusikia. Wacha apate.)

Hakika hukumu hii hakuonewa kamwe ogopeni vigeugeu
ukiamua kuwa moto kuwa moto na baridi kuwa baridi vuguvugu always ni wanafiki tu wachumia tumbo:A S-baby:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom