Ni hakika 'kaburi' la kuizika CCM limeshachimbwa na UKAWA katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Kwa Jiji la Mwanza CCM imepata viti 99 Chadema 70. Kwa maana hiyo Mbunge wa Nyamagana, Ezekile Wenje wa Pipooz anakusudia kufanya ibada maalumu kwa ajili ya kuwashukuru wananchi kwa kuichagua Chadema na UKAWA. Ibada itajumuisha madhehebu yote na itakuwa ya wazi.