CCM 99 CHADEMA 70 halafu CCM imezikwa Mwanza!!!! Bangi bwana ni noma.
Halafu Chama Cha Maescrow wanakuja hapa na kudai Wenje harudi bungeni!. In a nutshell kanda ya ziwa ni stronghold ya CHADEMA.
Halafu Chama Cha Maescrow wanakuja hapa na kudai Wenje harudi bungeni!. In a nutshell kanda ya ziwa ni stronghold ya CHADEMA.
Hongereni wanamwanza, endeleeni kupambana!
CCM 99 CHADEMA 70 halafu CCM imezikwa Mwanza!!!! Bangi bwana ni noma.
Wasira Alisema Chadema itakufa kabla ya 2014, Sasa ijui alikuwa anaongea kisengerenyuma.
Halafu Chama Cha Maescrow wanakuja hapa na kudai Wenje harudi bungeni!. In a nutshell kanda ya ziwa ni stronghold ya CHADEMA.
Uncircumcised baboon at work!
CCM 99 CHADEMA 70 halafu CCM imezikwa Mwanza!!!! Bangi bwana ni noma.
Basi sawa, kwa ushahidi wako umekubali tangu 2009 CHADEMA kilikuwa na mtaa 1, sasa 2014 imeongeza mitaa 69.Wacha uongo wewe!! tangu 2009:-
1. Mtaa wa Kilimahewa ni Seleman Sanga-TLP
2. Mtaa wa Isamilo ni Filbert Bulinjiye-Chadema.
hawa ni wale nao wakumbuka na niliofanya nao kazi hivyo futa kauli yako kuwa tangu 2009 mitaa yote ilikuwa ccm