TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,896
- 11,290
Lakini ni vizuri kasema hili, kwa sababu kesho tunaweza kumshika shati na kumuuliza "Muheshimiwa sana Mbunge Dakta Profesa Waziri vipi ulipata zile habari? Na zinasemaje ?"
hahaaaa... umesahau
Malafyale, chifu, dokta wa nyerere, mtaalam, bosi, sir, mkuu.... lile swali ulilouliza ni la msingi sana, hawa watu hawakujui wewe hawa:confused2: