Miss trinity
Member
- Feb 18, 2014
- 95
- 24
Hii JF,
Naombeni msaada wenu,
Nimeshindwa kulinda biashara yangu kutokana na kuugua hapo awali, nilikuwa na Duka lenye thamani ya sh.ml.5 nilikuwa nauza vinywaji baridi, biscuits, juice, bites, cake and luxury items.
Nilikuwa nafanya biashara vizuri kabisa coz bites nyingi ni kazi ya mikono yangu na nilikuwa na wateja wengi sana but sasa hivi nasikia kuchanganyikiwa sana coz biashara imeisha yaani mafriji hayana hata vinywaji mtaji umekufa.
Naombeni ushauri wenu natamani sana kuinuka tena ila mkononi nina laki 200000 tuu sijui nifanyaje location ya biashara yangu ni mjini.
Naombeni msaada wenu,
Nimeshindwa kulinda biashara yangu kutokana na kuugua hapo awali, nilikuwa na Duka lenye thamani ya sh.ml.5 nilikuwa nauza vinywaji baridi, biscuits, juice, bites, cake and luxury items.
Nilikuwa nafanya biashara vizuri kabisa coz bites nyingi ni kazi ya mikono yangu na nilikuwa na wateja wengi sana but sasa hivi nasikia kuchanganyikiwa sana coz biashara imeisha yaani mafriji hayana hata vinywaji mtaji umekufa.
Naombeni ushauri wenu natamani sana kuinuka tena ila mkononi nina laki 200000 tuu sijui nifanyaje location ya biashara yangu ni mjini.