Ndio niko mbioni kutafuta paka mkuu, shukrani sana kwa ushauri wako wa cheese1. Tafuta paka.
2. Kama ni sumu nunua cheese 🧀, pants na cheese ni kama bata na Bashite. Ukiamka asubuhi ilyobaki safisha utupe mbali kuepuka watoto wasile.
Nunua mitego weka na cheese.
Ipo mwenyewe huwa naitumia kwa kazi hiiSidhani kama bado inapatikana, ilitoweka.
tumia indocid goms huko ipo hata juzi nimetumia, ila weka kwenye nyanya, ile nyanya kubwa kata vipande vitatu au viwili kile kidonge kifungue nyunizia unga kwenye nyanya sio kati kat pale hali kwenye zile sehemu zenye maji maji atakula tu sababu haina harufu, akila anaanza kuishia nguvu kwenye mifupa andaa shimo watakufa wotw siku 3 nyingi/Asalam aleikum waungwana, jamani naomba msaada wa haraka kwa mwenye uelewa wa kuangamiza hawa wadudu (Panya). Ndani ya wiki mbili imekuwa tishio kwangu, walianza kama utani mmoja mmoja sasa wameingia kila mahali. Tunajitahidi sana usafi wa kila siku na kila mahali lakini wanazidi, msaada jamani. Tumewawekea sumu wakala siku ya kwanza baada ya hapo hawali ng'o!
Najua kuwa na paka ni suluhisho moja wapo, natafuta sana paka kwa mwenye nae pia wakuu.
Shukrani sana mkuu. Goms sehemu gani nitapata hiitumia indocid goms huko ipo hata juzi nimetumia, ila weka kwenye nyanya, ile nyanya kubwa kata vipande vitatu au viwili kile kidonge kifungue nyunizia unga kwenye nyanya sio kati kat pale hali kwenye zile sehemu zenye maji maji atakula tu sababu haina harufu, akila anaanza kuishia nguvu kwenye mifupa andaa shimo watakufa wotw siku 3 nyingi/
nyanya moja tumia vidonge viwili ndio dozi safi, wala huhitaji paka ila ile nyanya weka sehemu isiyo wazi kwa ajili ya usafi na zingatia mjia zao unahitaji nyanya tatu tu
Loh kama kweli unahitaji itabidi uje mpaka majohe, niliponunua mimi. Ila Kabla ya kuja nenda maduka ya madawa kwanza utasumbuka ila utapata ukishindwa kabisa, njoo Goms, halafu MAJOHE . Huku majohe kituo kinaitwa CHUO RADA. Yaani kuna Chuo na Rada ya Kuongoza ndege ndio jina limetoka hivyo. Kuna duka la Dawa moja tu hapo chuoRada wewe waulize mafundi pikipiki au bodabodav watakuonyesha, Za buku tu zinatosha ila kwa safari yote hiyo chukua za kutosha. Usafiri umekuwa shida huku sababu ya mvua. Ukifika Goms angalia au uliza njia ya mkato kwenda kituo cha Kampala University kwa ajili ya usafiri wa Dala Dala na bodaboda, Hata Goms pale usafiri upo ila utapoteza muda kusubiri/Shukrani sana mkuu. Goms sehemu gani nitapata hii
Ile ya mwanzo lilikuwa nzuri lakini baadae lilikuwa feki.Pole mkuu, nunua hii sumu huchanganyi na kitu chochote, wakila inawakausha ila hakikisha umefunika vyombo vya maji, sababu wakinywa maji inapungua nguvu
Ni Nzuri sanaView attachment 1103573View attachment 1103574
Duh!Aisee!
paka nenda uswazi hukosiNdio niko mbioni kutafuta paka mkuu, shukrani sana kwa ushauri wako wa cheese
unaifanyajeSuluhisho la panya ni INDOCID dawa ya mifupa ya binadamu.
Itafute mkuuu
ipo na ni kibokoSidhani kama bado inapatikana, ilitoweka.
unatafta chakula chakuwategea lets say miba ya samaki hiyo indocid iko kama mfumo wa zile dawa amoxylyn uanchofanya unaifungua ule unga wake unamix na hiyo miba yake usiweke kamoja kadawa wawekee kuanzia hata nneunaifanyaje
unaifanyaje