Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 23,257
- 28,414
Kama bakora sita za mkwaju kisha ziweke kwenye mlango wa kabati la nguo, si wamechokoza vita menyewe, wakiziona hizo bakora watahama nyumba usiku huohuo, niwaoga sana wa bakora.Yameanza kula nguo usiku wa leo! Baada ya kukosa kitu jikoni




