Kuandika list ya majina ya wanawake uliowahi kuwa na uhusiano nao wa kimapenzi

millionroses

Member
Nov 12, 2012
19
2
Habari wanajamvi...hivi inakuwaje mtu unaandika list ya majina ya wanawake uliokuwa na uhusiano nao wa kimapenzi tena wadada sio chini ya saba..then mpenzi wako akikuuliza ya nn???? huna cha kujibu na zaidi akitaka kuichukua hyo diary ulipoandika hayo majina unaonekana kukwazika na unaificha. Nia ya mpenzio kutaka kuichukua ni either kuichoma moto au kuitupa mbali maana dada hujisikii vizuri kila uonapo yale majina. Nini kinapelekea nyie wanaume kuandika hiyo mijina?????
 
Utoto na u.j.i.n.g.a
"
Binafsi sipendi hata kumkumbuka binti niliemvulia nguo halafu tukaachana.Kujisifu au kuona fahari kwenye mambo ya hovyo namna hii ni hatari,labda uwe teenager!
 
Ni 'Record Keeping' wakuu.Inaweza kutokea mmojawapo akatangazwa runingani au redioni kuwa ameukwaa 'ubosi' mahali fulani ikawa zali la mentali kama hamkuachana kwa kejeli,matusi na ngebe. Ni jambo muhimu kutunza kumbukumbu
 
teh tehe ni 'records keeping' bwana wengi wana style zao wengine uwa wanahakksha binti anaacha ata pichu au bra then zile zote znahifadhiwa sandukuni na tags zake yaan (majina au nicknames) ilo sanduku linatiwa pasword zakutosha alaf...ndo unasikia "I got skeletons in my closet"

:biggrin1: :biggrin1:
 
Inaonekana unapenda sana mambo ya kishirikina. Katika michango yote wewe ulichokiona ni uchawi tu!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

wadanganyika tunazd kuwa maskn kwa kuamn everythng ni ushirikina yaona haya nayo humu yanayojiita eti GT eti nayo yanaamn kuandka majna ya watu ni uchawi,vipi mawakala wa sensa maana waliandka majina ya familia kwa kuhesabu nao ni wachawi nyambafu.
 
1. Halima Reply
2. Martha Report Post
3. Alice PM
4. Josephine New Post
..........
.....
...
.
 
Nakumbuka kuna kijana mmoja huko ubungo flats aliacha ameandika majina ya wadada wote aliotembea nao, bahati mbaya alikufa kutokana na kinga kupungua mwilini basi ilikuwa ni vilio kila kona kwa kila aliambiwa jina lake limo.
 
wengine tukiandika tutajaza macounter book kibao
tutakosa pa kuyahifadhi eti
kitu foleni bunju -mwanza

Kumbe ndo maana ulikuwaga na kale kamsemo kako ka "kila anayezini sijui anatoboka wengi tungekuwa neti!":confused2:
 
Ilinishanitokea kali kuliko nilikamata listi ya jamaa amefikisha wadada 12 mimi mwenyewe nikiwa namba 6 kaandika majina na makabila yetu halafu ameweka hadi alama za percentage ambayo sikuelewa ni performance au nini, mbaya zaidi alikuwa ameoa na mkewe alikuwamo kwenye list mkewe alikuwa namba 4 na percentage 45%. Na ni siku aliyoconfess kwangu kuwa ameoa maana nilikuwa sijui hilo na uhusiano uliishia dakika chache baada ya yeye kuconfess ahahahahahaha This world is pregnant

Sent from Samsung tablet
 
Back
Top Bottom