Kuahirishwa kwa Safari ya Mwanza......

Kuahirishwa kwa Safari ya Mwanza......

Charminglady, mi ndo naiona hii hapa. Mi kitu cha mwanza, naomba mnikumbuke katka program za mwanza wing
 
Ayaaaahh...

Dr unajua nilishaaga hapa mtaani kuwa naenda kukutana na Preta wa jeiefu...sura yangu sijui nitaificha wapi mimi!!!

Hata hivyo kama ulivyotangulia kuandika, Mola ndiye mpangaji wa zetu ratiba.

Atatujumuisha tu tena panapo majaaliwa yake!

Jiraniiiiii. Pole.
 
Last edited by a moderator:
woman_hiding_face.jpg


Aibuuuuu.... Sijui ntaufichaapi uso wangu!!!!

Tuwie radhi,binadam tunapanga na Mungu nae anapanga. Naamin safari ya huko itatimia,tuombeane uzima na uwezo.
 
Nimeshindwa kuchangia hii thread tangu imewekwa! Binafsi nlitamani sana niwe Mwz leo ila sina la kusema! Ntamwambia nini amu? Ni lugha gani nitamweleza Honey Faith!? Niweleze nini brenda18!!?
Anyway, Mungu ndiye mpangaji wa yote! Kama alivyosema Dark City, "hamu haiishi utamu", tunajipanga upya na tutakuja mwanza kama tulivyopanga!
Hiyo ni promise na naamini tutaitimiza soon!
Poleni sana wote walioumizwa na jambo hili, hasa mpendwa wangu charminglady!


Sawa mdogo wangu Filipo....

Yaani hapa misosi yetu imenyakuliwa ghafla wakati tumeshanawa....

Ni jambo zito ila basi tu...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
There is always next time, Mwanza wing msife moyo tunajipanga na tunamtanguliza Mungu atupe wepesi wa kila tulipangalo hakika tutafanikiwa, maana hakuna lisilowezekana mbele ya Mungu.
 
Eti . . . . . . . .!!????

Damn!!!!!!!!!
 
Mungu mwenyewe anajua kwa nini ameongeza majukumu meengi juu yetu hadi tumeshundwa kufulfill mpango huu...naamini atafungua mlango mwingine kwa wakati mwingine
 
Hahaha jirani nishapoa atii...

Siye wa kipande yetu kule acha tuendelee na mitoko yetu ya Kilimani Temboni au Mbezi Luxury..
Nimepamisi kweli Luxury aiseeee. Sijui niende New Years Eve?
 
Kwa heshima na taadhima.........naomba nisogee mbele yenu.....(kwa niaba ya Arusha Wing).......kwa masikitiko......kuwaeleza wale wote waliokuwa wanatutarajia wageni wao kutoka Arusha kuelekea Mwanza.......kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wetu........(majukumu kuzidi)......tutashindwa kuhitimisha safari yetu hii kwa sasa hadi hapo tutakapoweza kujipanga tena.

Shukrani zetu zimwendee kila mmoja wenu......ambao mlikuwa mmejitolea kutupokea na tuwaombe samahani sana.......kama binadamu huwa tunapanga.....lakini mpangaji mkuu huwa ni Mungu.....

Mpendwa wetu charminglady.......tunaomba radhi kwa kutokuweza kufika.......umejitahidi sana kutuwekea mambo sawa lakini ndio kama hivyo tena........tunaomba uwafikishie na wengine uliokuwa nao kwenye team yako salam zetu hizi za masikitiko.......tutakuja siku nyingine........

Tunawashukuru wote mlioonyesha moyo wa kuungana na sisi.......Mungu atajalia tutafanikisha hili.........siku zijazo.......

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/547912-jf-mwanza-wing-mpo-arusha-wing-tunakuja-kuwashikaaa.html..

Asanteni Sana.........

cc: Filipo.. marejesho.... Arushaone.... Valentina.... Tonykp.... Lily Flower..... PakaJimmy..... Dark City.... Mwanyasi..... SnowBall.... IGWE... LiverpoolFC.... Madame B.... Mzee wa Rula... Kaizer.... watu8... KOKUTONA.... Cantalisia.... Blaki Womani......


Xmas imekwangua wallet kudadadeki. chezeya maji ya brown na kisusio kwa wingi?
 
Last edited by a moderator:
Nimeshindwa kuchangia hii thread tangu imewekwa! Binafsi nlitamani sana niwe Mwz leo ila sina la kusema! Ntamwambia nini amu? Ni lugha gani nitamweleza Honey Faith!? Niweleze nini brenda18!!?
Anyway, Mungu ndiye mpangaji wa yote! Kama alivyosema Dark City, "hamu haiishi utamu", tunajipanga upya na tutakuja mwanza kama tulivyopanga!
Hiyo ni promise na naamini tutaitimiza soon!
Poleni sana wote walioumizwa na jambo hili, hasa mpendwa wangu charminglady!

siamin
 
Last edited by a moderator:
Habari yako Lily...

There is always next time, Mwanza wing msife moyo tunajipanga na tunamtanguliza Mungu atupe wepesi wa kila tulipangalo hakika tutafanikiwa, maana hakuna lisilowezekana mbele ya Mungu.
 
Back
Top Bottom